Englishlady
JF-Expert Member
- Apr 11, 2013
- 2,736
- 3,644
Kwani naye si anachapa kazi.Unajifungia ndani chato huku unamwambia wenzako endeleeni kuchapa kazi Kama wewe siyo muuaji ni nani?
Atakuwa nayoHivi ndugu yangu huna namba ya simu ya Magu uongee naye moja kwa moja. Wewe ni mkongwe sana MMM
Corona ndo ccm so haitakiwi kuhusishwa na vifo hivi isije ikasababisha malaika kukosa ushindi wa kishindo hapo octoberAisee hali ni tete tunakwisha japo wanasema hivi vifo sio vya corona ila kwa nini iwe wakati huu wa corona ndo vifo vinazidi?!
Kafanana na hayati TX MoshiMkuu kwa huyu mzee nimesikitika sana!Sijui hii huruma imetoka wapi ila nimeumia sana!
Yeye alivojifungia anakula nini?? Hizo nchi zingine watu wanaokaa ndani wanakula nini.ndio maana tutakufa hovyo kwa akili za kijinga Kama zakwakoanatuonea huruma tutakufa njaa utadhani tunavyoishi na kula anatusaidia yeye.
Umelazimishwa kufanya kazi? kama vipi hama nchi.Watanzania shtukeni magufuli anataka kutuua .Kama huna ishu kaa ndani.
Kwa sasa ndio unaweza kukubaliana na jiwe kuhusu kuomba Mungu tu, maana tumeshindwa kuchukua hatua stahiki na kuzuia usambaaji, ni Mungu tu ndie atakae tusaidia sasa.Agustino wote mkae mkao wa kula week hii ni yenu. Alianza jaji mstaafu sahivi mzee Mahiga...next hatujui ni nani