Mkuu yani leo hadi sasa hivi saa tatu asubuhi hamna Tanzia sijui kuna nini? Ebu tuvute subira labda hadi mida ya saa sita mchana hiviWatanzania ni wajuaji sana! Popote Uendapo, this is the reason why very few only the humble ones have succeeded! Punguzeni Ujuaji! Elimu zenyewe mshikemshike, Maneno tu! Duniani kote kipindi hiki wanakitumia kutiana Moyo! Lakini ninyi vinywa vyenu vimejaa Sumu tu!