TANZIA TANZIA: Daktari Bingwa Mishipa ya Fahamu na Ubongo Ronald William Hodge Afariki Dunia

TANZIA TANZIA: Daktari Bingwa Mishipa ya Fahamu na Ubongo Ronald William Hodge Afariki Dunia

Sitaki kufa ila sina jinsi, hasa hasa huku ukubwani starehe ya kula Mbususu ndio imenifanya nione Mungu alitupa miaka michache mnooo alfu ukizingatia Mbinguni wanasema hakuna Mbususu … ! So sad [emoji24]

Kama wewe ni muslim basi oa wanawake wanne wa type tofauti unazotaka ,kisha fanya ibada tenda wema ukifika huk0 utapata mbususu bikra 70 na utapewa nguvu ya kupiga mizigo 70 kwa siku.
 
Unaseka na mavitabu usku kucha, kujituma, end of the day unakufa[emoji24][emoji24][emoji24] kifo kuwa na huruma Basi hii dunia hamna ambae atajua kuifaidi coz UNAWEZA ukatafuta alafu ukapata ukafa na kufa
Zamani wakati wa utoto nilijua daktari haumwi wala hafi, mwanadamu hata uwe na cheo au mali za kiwango gani , duniani ni sehemu ya kupita tu , roho Ndio itaishi milele aidha Kwenye Mateso ya milele au uzima wa milele ufalme wa Mungu mbinguni
 
Unaseka na mavitabu usku kucha, kujituma, end of the day unakufa[emoji24][emoji24][emoji24] kifo kuwa na huruma Basi hii dunia hamna ambae atajua kuifaidi coz UNAWEZA ukatafuta alafu ukapata ukafa na kufa
Unanikumbushia kuna askari alitoka vitani akafika nyumbani salama kabisaa. Kesho yake wanafanya maandalizi ya kutoa shukrani na sherehe hakufika asubuhi kaondoka usingizini
 
Kama wewe ni muslim basi oa wanawake wanne wa type tofauti unazotaka ,kisha fanya ibada tenda wema ukifika huk0 utapata mbususu bikra 70 na utapewa nguvu ya kupiga mizigo 70 kwa siku.

[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji1787]
 
Natafuta mchana na usiku kwa nguvu zangu zote na akili zangu zote. Kifo hakiwezi niogopesha au kunivunja nguvu ya kuusaka utajiri na mali. Kuna kizazi baada ya mie
 
Kama wewe ni muslim basi oa wanawake wanne wa type tofauti unazotaka ,kisha fanya ibada tenda wema ukifika huk0 utapata mbususu bikra 70 na utapewa nguvu ya kupiga mizigo 70 kwa siku.
Hili changa la macho[emoji16][emoji16][emoji56][emoji79]
 
Back
Top Bottom