TANZIA: George Tyson Afariki - Msiba mwingine Tasnia ya Filamu

TANZIA: George Tyson Afariki - Msiba mwingine Tasnia ya Filamu

George Tyson: ntamkumbuka kama watu Wa mwanzo kabisa kuifufua tasnia ya filamu Tanzania, Movie yake alioidirect "Girlfriend " ndo ilikuwa ufunguzi wa new era of bongo films.

kazi nzuri nyingine ni pamoja na Sabrina ambayo ilikuwa nzuri pia kwa wakati wake.

sema alikuwa amepoa sana, hakuendelea kutoa movie tena, sijui kwa nini?
 
Huo ni mtihani wanaofanya movie mungu anawakumbusha murejee kwake achaneni na hii issue.
 
UPDATES:
mboni wa the mboni show nae alikuwepo kwenye ajali so amevunjika mguu
 
R.I.P George.....jamani bongo movie dah!

pole monalisa
 
dah...Mungu amuweke mahala anapostahili
R.I.P George tyson
poleni sana bongo movies
 
R.I.P George Tyson, what a great director we lost. Amekuwa ni director mzuri kwa kipindi chote cha uhai wake cz ukiachana na filamu pia amekuwa akidirect vpnd vng vya television na hv karibuni alikuwa Director wa The one show na Boys Boys vpnd vya TV1.

Pigo kwa Kidoti na muuza matikiti maji mwamcotton.
 
UPDATES:
mboni wa the mboni show nae alikuwepo kwenye ajali so amevunjika mguu

Mbona kuna sredi nyingine inasema mboni yupo salama alikuwa kwenye vx gari nyingine? Mods ingilieni kati tupate habari za uhakika JF ndio chanzo cha habari za uhakika.
 
R.I.P. Msanii.
Mwenye picha yake tafadhali.!
 
Back
Top Bottom