TANZIA TANZIA: Mchungaji Dkt. Peter Mitimingi wa Warehouse Christian Centre (WCC), afariki dunia

TANZIA TANZIA: Mchungaji Dkt. Peter Mitimingi wa Warehouse Christian Centre (WCC), afariki dunia

Tuna ugonjwa wa Corona unasumbua dunia,kila mtu anaomba abaki hai,je unataka ubaki hai ili uendelee kuiba,kufanya uzinzi,kusema uongo na mengine ambayo ni chukizo kwa Mola?Fikiria Mungu akikuuliza leo kwa nini unataka uwe hai,je una sababu za msingi za kumshawishi akuache uishi?
Mkuu ,Umenikosh mno,
Wengi wetu tuna fuata bendea tuu.
Watu humu ndani ya Jf wameshikilia amekufa kifo gani ama corona ama homa ya mapafu,

Ukisha jua ndio iwe nini?
Umbeya tuuu na kudadisi ujinga.
Wewe shukuru Mungu ungali hai,bado uanyo nafasi ya kupiga goti na Kuomba Toba .
Hebu inama hapo ulipo ujichunguze ,Umetanguliza nini kwa Mungu kama Utakufa leo usiku?
 
Basi sie watenda maovu tumrejee Mungu 🙌
Mrejee Mungu kwa nguvu zako zoto na moyo wako wote na akili zako zote,
tazama, wale waliojilimbikizia mamali kisha wakafa wakayaacha wamevuna nini?
heri yule aliye kufa omba omba ,lakini akipatacho baada ya kuomba hutowa nusu yake kuwagawie masikini wenzake.

Amin nakuambia.mali si chochote mbele ya Bwana Muumba.
Amin nakuambia Umaarufu wala cheo havina msaada wowote siku ya Bwana
Amin nakuambia, utaleta toba ama utaangamia na dhambi

Huu ni mwezi wa Toba ,Ramadhani na punde tuu ilikuwa Kwaresma
Bado hujayatambua makosa yako?na kuyafuta kwa toba na kujutia.?
 
Kiukweli kama hii Corona ipo basi Mungu atupe watanzania wepesi wa kuelewa maelekezo tunayopewa na wataalamu wa afya.

Misongamano imekatazwa lakini hapa nashuhudia lundo la watu wakiwa wamejazana kanisani kumuaga marehemu mchungaji Mitimingi
Tatizo siyo kuaga mpendwa wao bali namna ambavyo hawachukui tahadhari katika mkusanyiko mkubwa kama huo.

Rip mchungaji Peter Mitimingi!
 
Kiukweli kama hii Corona ipo basi Mungu atupe watanzania wepesi wa kuelewa maelekezo tunayopewa na wataalamu wa afya.

Misongamano imekatazwa lakini hapa nashuhudia lundo la watu wakiwa wamejazana kanisani kumuaga marehemu mchungaji Mitimingi
Tatizo siyo kuaga mpendwa wao bali namna ambavyo hawachukui tahadhari katika mkusanyiko mkubwa kama huo.

Rip mchungaji Peter Mitimingi!
Mere prose without any accompanying evidence!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli kama hii Corona ipo basi Mungu atupe watanzania wepesi wa kuelewa maelekezo tunayopewa na wataalamu wa afya.

Misongamano imekatazwa lakini hapa nashuhudia lundo la watu wakiwa wamejazana kanisani kumuaga marehemu mchungaji Mitimingi
Tatizo siyo kuaga mpendwa wao bali namna ambavyo hawachukui tahadhari katika mkusanyiko mkubwa kama huo.

Rip mchungaji Peter Mitimingi!
Wasije kumlaumu mtu , huyu mitimingi kabla hajafa alifanya mkusanyiko pia .

FB_IMG_1588718395386.jpg
 
Kiukweli kama hii Corona ipo basi Mungu atupe watanzania wepesi wa kuelewa maelekezo tunayopewa na wataalamu wa afya.

Misongamano imekatazwa lakini hapa nashuhudia lundo la watu wakiwa wamejazana kanisani kumuaga marehemu mchungaji Mitimingi
Tatizo siyo kuaga mpendwa wao bali namna ambavyo hawachukui tahadhari katika mkusanyiko mkubwa kama huo.

Rip mchungaji Peter Mitimingi!
Korona inathibitisha ni mataifa gani majinga, mpaka sasa ni Brazil na Tanzania. Brazil wana dharau Korona toka ilipoanza lakini sasa maelfu wamekufa na korona, na bado rais wao anafanya ujinga.
 
Si wameshaambiwa kuna mapapai, oil za magari na mbuzi?...…..
 
Kiukweli kama hii Corona ipo basi Mungu atupe watanzania wepesi wa kuelewa maelekezo tunayopewa na wataalamu wa afya.

Misongamano imekatazwa lakini hapa nashuhudia lundo la watu wakiwa wamejazana kanisani kumuaga marehemu mchungaji Mitimingi
Tatizo siyo kuaga mpendwa wao bali namna ambavyo hawachukui tahadhari katika mkusanyiko mkubwa kama huo.

Rip mchungaji Peter Mitimingi!
Waķati unashughudia wewe ulikuwa wapi kama sio moja wao
 
Kusema ukweli hotuba zitokazo ikulu ya Chato zinawafanya watu wengi wasichukue tahadhari za kutosha na hata wengine wakichukulia gonjwa hili kuwa ni poa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom