TANZIA TANZIA: Mchungaji Dkt. Peter Mitimingi wa Warehouse Christian Centre (WCC), afariki dunia

TANZIA TANZIA: Mchungaji Dkt. Peter Mitimingi wa Warehouse Christian Centre (WCC), afariki dunia

RIP
maxresdefault-2-1-660x400.jpg


Mchungaji Peter Mitimingi wa Kanisa la Ghala la Chakula cha Uzima (Warehouse Christian Centre-WCC) ambaye pia ni Mkurugenzi wa Voice of Hope Ministry (VHM) inayojihusisha na huduma ya injili vijijini amefariki Dunia akiwa Muhimbili kwenye matibabu, Mchungaji Msaidizi wa kanisa hilo amethibitisha na kuelekezea chanzo cha kifo chake.

“Yeye alikuwa anaumwa Sukari ilipanda, ikaanza homa ya mapafu kwasababu alikuwa Arusha akapigwa na mvua kukawa na baridi kali hiyo hali ikamsumbua na kupelekea kufariki “-Mchungaji Samweli, Msaidizi wa Kanisa

HIVI HIYO HOMA YA MAPAFU NDO UGONJWA GANI TENA?????
RIP
 
maxresdefault-2-1-660x400.jpg


Mchungaji Peter Mitimingi wa Kanisa la Ghala la Chakula cha Uzima (Warehouse Christian Centre-WCC) ambaye pia ni Mkurugenzi wa Voice of Hope Ministry (VHM) inayojihusisha na huduma ya injili vijijini amefariki Dunia akiwa Muhimbili kwenye matibabu, Mchungaji Msaidizi wa kanisa hilo amethibitisha na kuelekezea chanzo cha kifo chake.

“Yeye alikuwa anaumwa Sukari ilipanda, ikaanza homa ya mapafu kwasababu alikuwa Arusha akapigwa na mvua kukawa na baridi kali hiyo hali ikamsumbua na kupelekea kufariki “-Mchungaji Samweli, Msaidizi wa Kanisa

HIVI HIYO HOMA YA MAPAFU NDO UGONJWA GANI TENA?????
Pneumonia
 
R. I. P mchungaji
"chozi la mwanamke likitoka sababu ya maumivu au kunung'unika huleta laana"
Sasa wewe jifanye kitunguu maji kuwaliza wadada.

Pole sana.

Halafu nakutafuta...nikukute inbox
 
Unaposikiliza mahubiri/mafundisho yakakuchoma moyo wako kwa maana ya kwamba ukajiona una hatia,kwa mkristo anayejitambua hii inamanisha uombe toba na ubadilike.Hii inamanisha ni nafasi Mungu amekupa utengeneze njia zako,kwa bahati mbaya kizazi hiki cha nyoka,badala ya kutengeneza kinamchukia mwalimu/mhubiri.

Kila mtu atatoa hesabu ya matendo yake aliyoyafanya wazi na aliyoyafanya gizani/mafichoni.Nyakati za mwisho watu watakuwa ni wenye mizaha,hili lipo sana,kwenye mambo serious watu wanaweka comedy.

Elewa kwa nini upo hai mpaka leo,kuna siku zinakuja walio hai watatamani kufa bila kujua wataenda wapi,mbinguni au kuzimu.

Tuna ugonjwa wa Corona unasumbua dunia,kila mtu anaomba abaki hai,je unataka ubaki hai ili uendelee kuiba,kufanya uzinzi,kusema uongo na mengine ambayo ni chukizo kwa Mola?Fikiria Mungu akikuuliza leo kwa nini unataka uwe hai,je una sababu za msingi za kumshawishi akuache uishi?

Wengi kuna mengi hawayajui na wanaenda tu,kama ungejua nini kiko mbele yako,usingeishi hayo maisha unayoishi.

Heri mtu yule ambaye atakufa akiwa anamtumikia Mungu wa kweli,kama kuna sehemu alikosea atajuana na Mungu.Je tujiulize mimi na wewe ambao leo tuko hai,tumefanya nini katika kuujenga ufalme wa Mungu?

Kuna watu hapa, mbingu zinawatambua kama Wachungaji,Wainjilist,Mitume na Manabii wa ukweli siyo waigizaji waliojaa zama hizi,lakini bado uko huko uliko?Je ulishafikilia pumzi ya uhai ikiondolewa leo,wewe utaenda wapi as a christian?Kwa sababu sehemu za kwenda ni mbili na tunazichagua wakati huu tukiwa hai hapa duniani.Right now aidha mtu yuko kwenye ufalme wa Mungu au ufalme wa shetani.Je wewe ni wa ufalme upi?

Chukua hatua,kuna kitabu fulani nilisoma kinaonyesha kipindi hiki ni cha mavuno. Mungu anavuna walio wake na Shetani naye anavuna walio wake.Je wewe utavunwa na nani?

Be serious and take responsibility for your life.
 
Back
Top Bottom