EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,099
- 25,347
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda alimaanisha whorehouse Google ikafanya autocorrect.WAREHOUSE ni jengo la
kuhifadhi vifaa
au vitu kwa
matumizi ya
baadae.
SILO ghala la kuhifadhi
chakula.
Si parapanda ipigwe tu tujue moja😪😪😪
Mchungaji na mwalimu Dkt. Peter Mitimingi wa Kanisa la Ghala la Chakula au kwa kimombo “Warehouse Christian Centre(WCC)” amefariki dunia, usiku huu.
Kabla ya kuanzisha kanisa lake hilo, alihudumu TAG.
Mch. Mitimingi anadaiwa alikuwa amelazwa Hospitali ya Taifa, Muhimbili na Kafariki saa Tisa za alasiri
Mchungaji Msaidizi wa kanisa hilo Samwel, amethibitisha. “alikuwa anaumwa Sukari ilipanda, ikaanza homa ya mapafu kwasababu alikuwa Arusha akapigwa na mvua kukawa na baridi kali ikamsumbua”
Kaacha Mke na Watoto Wanne.
Kweli?Mbona kipindi kile Gwajima anamtukana Pengo na kujiingiza kwenye siasa za chadema ulikuwa unajibinua binua kwa kushangilia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mheshimiwa, lakin makasisi wa kikatolik si hawaoi? Watajuaje mambo aliyokuwa akifundisha Mitimingi japo sikuwa fani wake?Uko sahihi mkuu ukiona mtumishi anapendwa na kufatiliwa na wanawake ujue anawafundisha negativities kuhusu wanaume.
Huu upuuzi huwezi kuukuta kwa makasisi wa kikatoliki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu msiba umekugusa sana Pole sana chiefInadaiwa alisumbuliwa na sukari mkuu, dah so sad about the news. Sijui kwanini watu tunaowapenda ndio huondolewa mapema. I wonder man!
Asante sana mkuuHuu msiba umekugusa sana Pole sana chief
The only thing to fear is fear itself
Eti mchungaji as the same time mtaalam wa mahusiano which is which?Mheshimiwa, lakin makasisi wa kikatolik si hawaoi? Watajuaje mambo aliyokuwa akifundisha Mitimingi japo sikuwa fani wake?
Mimi nilidhani mchungaji wa mambo ya dinimkuu ndiyo hivyo tutafanyaje
Siku hizi kuna wachungaji basi,wote ni wajasiriadini tu.Apumzike zakeEti mchungaji as the same time mtaalam wa mahusiano which is which?
Angejikita sehemu moja tu .
RIP
Sent using Jamii Forums mobile app
😭😭😭😭
Mchungaji na mwalimu Dkt. Peter Mitimingi wa Kanisa la Ghala la Chakula au kwa kimombo “Warehouse Christian Centre(WCC)” amefariki dunia, usiku huu.
Kabla ya kuanzisha kanisa lake hilo, alihudumu TAG.
Mch. Mitimingi anadaiwa alikuwa amelazwa Hospitali ya Taifa, Muhimbili na Kafariki saa Tisa za alasiri
Mchungaji Msaidizi wa kanisa hilo Samwel, amethibitisha. “alikuwa anaumwa Sukari ilipanda, ikaanza homa ya mapafu kwasababu alikuwa Arusha akapigwa na mvua kukawa na baridi kali ikamsumbua”
Kaacha Mke na Watoto Wanne.
Mimi siwezi kutumia Google kunitafsiria, nikisema Whorehouse najua na ndivyo lilivyokuwa kanisa lake, na yeye aliliita Warehouse kwa sababu alikuwa anawatumia wale mabinti kama vifaa vya kujikimu, hivyo majina yote mawili yanastahili hapo.
Pirapanda likilia,hakutawasaidia watendao maovu kwa lolote ambao ndio wengi wetu.Si parapanda ipigwe tu tujue moja😪😪😪