TANZIA TANZIA: Mchungaji Dkt. Peter Mitimingi wa Warehouse Christian Centre (WCC), afariki dunia

TANZIA TANZIA: Mchungaji Dkt. Peter Mitimingi wa Warehouse Christian Centre (WCC), afariki dunia

Pirapanda likilia,hakutawasaidia watendao maovu kwa lolote ambao ndio wengi wetu.
Usiombe hilo, kwa sasa ,jielekeze kwenye toba na njia ya ukweli ya kumjua na kumuabudu Mungu wa kweli na wa pekee ilivyo sahihi .
Basi sie watenda maovu tumrejee Mungu 🙌
 
Mimi siwezi kutumia Google kunitafsiria, nikisema Whorehouse najua na ndivyo lilivyokuwa kanisa lake, na yeye aliliita Warehouse kwa sababu alikuwa anawatumia wale mabinti kama vifaa vya kujikimu, hivyo majina yote mawili yanastahili hapo.
wewe ni miongoni mwa hao mabinti!!!!au muhanga wa mafundisho yake.

maana si kwa kung'ang'ana huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiama Kikikaribia ,basi watu wote wema wataanza kupukutika kwa spidi kubwa na hatimae watabaki watu waovu watupu.

Hapo wataanza kufanyiana mambo ya kifedhuli ikiwemo kuuwana ovyo, uasherati,wizi na dhulma,na uwongo kuwa ndio nyimbo ya taifa,mapato ya haramu ,na ulaji wa Riba wazi wazi.

Hapo Kiama kitawakuta watu wa aina hiyo wakiwa kwenye Uovu wao huo na starehe zao hizo chafu na wingi wa kulewa.

Majumba ya dini yatageuzwa Madanguro ya Mabintiwarembo na vijana watanashati wakiimba na kucheka huku wakiwa wingi wa matamanio na uzinzi ,usanii wa Maneno, huku watu hao wakimkebehi Mungu kwa kuwa ni waovu.

Miziki na madisko na Nyimbo za kila aina zitaimbwa humo wakiiminisha kuwa eti ndio sala sahihi kwa staili za Mipigo ya kidunia. Sio tena vile vinanda na vinubi.

Hapo Kiama kitawahalallikia watu wa aina hizo.

Hili la majumba ya dini (Makanisa) kugeuzwa madanguro sijawahi kulishuhudia. Nimewahi kushuhudia Makanisa yanageuzwa kuwa vilabu vya pombe na kumbi za kuchakata muziki/disko —-Dunia inaelekea huko kwenye Makanisa kubadilishwa madanguro kwa mwendo mkali sana!!
 
maxresdefault-2-1-660x400.jpg


Mchungaji Peter Mitimingi wa Kanisa la Ghala la Chakula cha Uzima (Warehouse Christian Centre-WCC) ambaye pia ni Mkurugenzi wa Voice of Hope Ministry (VHM) inayojihusisha na huduma ya injili vijijini amefariki Dunia akiwa Muhimbili kwenye matibabu, Mchungaji Msaidizi wa kanisa hilo amethibitisha na kuelekezea chanzo cha kifo chake.

“Yeye alikuwa anaumwa Sukari ilipanda, ikaanza homa ya mapafu kwasababu alikuwa Arusha akapigwa na mvua kukawa na baridi kali hiyo hali ikamsumbua na kupelekea kufariki “-Mchungaji Samweli, Msaidizi wa Kanisa

HIVI HIYO HOMA YA MAPAFU NDO UGONJWA GANI TENA?????
 
Alihudumu na mama Rwakatare kipindi cha pasaka!
Mama kamuandalia makao na sasa amemuita ili atakapokuwepo naye awepo.
 
“Yeye alikuwa anaumwa Sukari ilipanda, ikaanza homa ya mapafu kwasababu alikuwa Arusha akapigwa na mvua kukawa na baridi kali hiyo hali ikamsumbua na kupelekea kufariki “-Mchungaji Samweli, Msaidizi wa Kanisa
 
Hivi homa ya mapafu si ndo hii corona wajameni???
 
Back
Top Bottom