TANZIA TANZIA: Mchungaji Dkt. Peter Mitimingi wa Warehouse Christian Centre (WCC), afariki dunia

TANZIA TANZIA: Mchungaji Dkt. Peter Mitimingi wa Warehouse Christian Centre (WCC), afariki dunia

Mara ya mwisho kumsikiliza alisema kama uchumba haujafikisha mwaka basi ni batili mnadanganyana.
Fundisho la uongo hilo

Mtu unapoenda mchumbia mtu ina maana ulishachunguza kwa muda waa kutosha ndio ukaenda kuchumbia sio unachumbia ndio unajitia eti ndio unaanza safari ya kumchunguza!!!

Fundisho la uongo Hilo mtu akichumbia chap chap aoe haraka hakuna Cha ohhh tunachunguzana kilichokupeleka mbio mbio kuchumbia Niini wakati mtu humjui vizuri

Mabinti kataeni uchumba ambao hauelekei kwenye ndoa chap chap kidume kikijifanya ohh tuchunguzane kwanza kiulize kwa hiyo ulikuja ku beep?


Huko ni kupotezeana muda chumbia ukishamjua mtu vizuri sio unajitia kuchumbia halafu ndio unaanza safari ya kumchunguza!!! Fundisho la uongo Hilo na la kipepo
 
Fundisho la uongo hilo

Mtu unapoenda mchumbia mtu ina maana ulishachunguza kwa muda waa kutosha ndio ukaenda kuchumbia sio unachumbia ndio unajitia eti ndio unaanza safari ya kumchunguza!!!

Fundisho la uongo Hilo mtu akichumbia chap chap aoe haraka hakuna Cha ohhh tunachunguzana kilichokupeleka mbio mbio kuchumbia Niini wakati mtu humjui vizuri

Mabinti kataeni uchumba ambao hauelekei kwenye ndoa chap chap kidume kikijifanya ohh tuchunguzane kwanza kiulize kwa hiyo ulikuja ku beep?


Huko ni kupotezeana muda chumbia ukishamjua mtu vizuri sio unajitia kuchumbia halafu ndio unaanza safari ya kumchunguza!!! Fundisho la uongo Hilo na la kipepo
Sijui kama nimekuelewa ila kwa nyakati hizi sio za kupeleka barua kwa binti ambae hata hujawai kuongea nae. Sasa ni 2020 ndugu.

Wachache wanaoweza kuficha tabia zao wengi unawajua kama utakaa nao angalau mwaka.
 
Sijui kama nimekuelewa ila kwa nyakati hizi sio za kupeleka barua kwa binti ambae hata hujawai kuongea nae. Sasa ni 2020 ndugu.

Wachache wanaoweza kuficha tabia zao wengi unawajua kama utakaa nao angalau mwaka.
Uchumba iwe zamani au Sasa unachumbia unayemjua sio usiyemjua unayetaka kumjua baada ya kumchumbia!!!!

Ndio.maana wengi wanaooana unakuta wanajuana vizuri Kama kukua wote,kusoma wote ,kusali wote,kutokea Kijiji kimoja,kabila moja ,undugu ,kufanya kazi pamoja nk
Au wewe unaongelea uchumba wa kukutana na mtu kwenye Facebook na Instagram au jamii forums ambaye humjui na unamchumbia? Kama Ni huyo sawa
 
Sijui kama nimekuelewa ila kwa nyakati hizi sio za kupeleka barua kwa binti ambae hata hujawai kuongea nae. Sasa ni 2020 ndugu.

Wachache wanaoweza kuficha tabia zao wengi unawajua kama utakaa nao angalau mwaka.

Alichokiongea mdau ndicho unachofafanua mkuu
By the way ndivyo inavyotakiwa kwa sasa.watu wawe makini sana na hizi semina za wasaka tonge
 
Mtu anaweza kutumiwa na shetani kwa kupenda mwenyewe au kwa kutokujua.

One day kila mtu atatoa hesabu mbele za Mungu
Mkuu uko right na hata Hawa wanaojifanya washauri wa mapenzi km wakina Chris mauki, twelve, Irene mbowe wote wanaandaa mada nyingi za kuwaponda wanaume ..na wanajikusanyia wanawake wengi kirahisi

One love

Sent using Jamii Forums mobile app
 
R. I. P mchungaji
"chozi la mwanamke likitoka sababu ya maumivu au kunung'unika huleta laana"
Sasa wewe jifanye kitunguu maji kuwaliza wadada.
Duuh hii kauli kuna dada aliisema jana baada ya kukutana na mtu mmoja kichaa,akasema "alipambana na mkewe walipopata pesa akamsaliti mkewe ndiyo maana amekuwa kichaa" wanawake inamaana mnalaana?

RIP Mchungaji
 
Maswali ni mawili sikuiz,

1. Amekufa kwa tatizo la kupumua(CORONA) ? alafu asipokujibu hili unauliza swali la pili na hili ndio litadetermine kama swali la kwanza ni YES or NO

2. Anazikwa na watu wangapi na muda wa mazishi hili sasa sababu litahusisha ndugu ndio utajua ukweli sasa.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Huyu jamaa alikuwa akipanda mbegu mbaya kwa akina mama, ambayo matokeo yake ni kiburi kwa wanawake ndani ya ndoa.

Ni kama alikuwa alifanya women empowerment. Simsemi vibaya hayati, ila maoni yangu kumhusu ni hayo. That's why hata comment yako inasadifu alichokipanda kwako mkuu!

Mwanamke ni kumtii mume, na mume ni kumpenda mke, mkifaulu hapo ndoa inasimama for life.

RIP Dr Mitimingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi mkuu ukiona mtumishi anapendwa na kufatiliwa na wanawake ujue anawafundisha negativities kuhusu wanaume.
Huu upuuzi huwezi kuukuta kwa makasisi wa kikatoliki.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uchumba iwe zamani au Sasa unachumbia unayemjua sio usiyemjua unayetaka kumjua baada ya kumchumbia!!!!

Ndio.maana wengi wanaooana unakuta wanajuana vizuri Kama kukua wote,kusoma wote ,kusali wote,kutokea Kijiji kimoja,kabila moja ,undugu ,kufanya kazi pamoja nk
Au wewe unaongelea uchumba wa kukutana na mtu kwenye Facebook na Instagram au jamii forums ambaye humjui na unamchumbia? Kama Ni huyo sawa
Kwangu Mitimingi alikua sahihi.
Tuishie hapo.
 
Back
Top Bottom