usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,956
- 14,032
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]dem hapo alikua anaonaInaonekana demu alikuwa mpuuzi [emoji1787]
Anamjenga jamaa kidin[emoji3][emoji3]
Jamaa nae anaona n mauza uza[emoji3][emoji3][emoji3]
stidy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]dem hapo alikua anaonaInaonekana demu alikuwa mpuuzi [emoji1787]
Mkuu uko right na hata Hawa wanaojifanya washauri wa mapenzi km wakina Chris mauki, twelve, Irene mbowe wote wanaandaa mada nyingi za kuwaponda wanaume ..na wanajikusanyia wanawake wengi kirahisi
Nimeumia sana sana, usiku sijalala kabisa, nimeogopa snaInadaiwa alisumbuliwa na sukari mkuu, dah im so sad about the news. Sijui kwanini watu tunaowapenda ndio huondolewa mapema. I wonder man!
Umeogopa nini sasa?_hujui kuwa kila nafsi itaonja mauti?.Nimeumia sana sana, usiku sijalala kabisa, nimeogopa sna
Duh!!,we jamaa humpendi Gwajima kiasi kutomtakia mema!!.Daaaa......acha mapenzi ya Mungu yatimizwe. Badala ya kufa mujitu km gwajima linaloeneza chuki za kikabila wanakufa waalimu na wachungaji wa maana?[emoji848][emoji848]
Hiyo RIP si huwa mnaikataa leo vipi tena??.Au we siyo wale wa kuliakulia na kuruka mapanga?.RIP mchungaji,ulinibariki sana kupitia mafundisho yako,mwendo umeumaliza lala salama,.
Kwasababu aliwapendelea akina mama au siyo?!!!Apumzike kwa amani, alikua na mafundisho mazuri sana.
Apart from mahusiano, alikua na mafundisho mengine
Mbona kipindi kile Gwajima anamtukana Pengo na kujiingiza kwenye siasa za chadema ulikuwa unajibinua binua kwa kushangilia?Daaaa......acha mapenzi ya Mungu yatimizwe. Badala ya kufa mujitu km gwajima linaloeneza chuki za kikabila wanakufa waalimu na wachungaji wa maana?[emoji848][emoji848]
Sawa najua aliwakonga sana wanawake.Apart from mahusiano, alikua na mafundisho mengine
Alikupumulia shingoni hivi karibuni?Nimeumia sana sana, usiku sijalala kabisa, nimeogopa sna
Duh!Juz kaenda pangalile leo kaenda mitimimgi
Hata hayo ya mahusiano hakuna alipopendeleaApart from mahusiano, alikua na mafundisho mengine