Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa mfundaji, si mchungajiHapana,huyu ni moja kati watu waliojua kufundisha habari za mahusiano na saikolojia vilivyo, hajawahi base upande mmoja,ana mafundisho mazuri sana,japo sijawahi kwenda kanisani kwake ila kupitia ktk YouTube channel yake nilimfuatilia Sana.
Tusitishane Bure Tuchape KaziR.I.P
Si kila kifo ni Corona
Kumbuka maswala ya ndoa yalikuwa ni sehemu tu ndogo ya huduma yake, sehemu yake kubwa ilikuwa ni kuhubiri injili, kumbuka kuwa yeye ndiye alikuwa kiongozi wa Voice of hope mnstr, injili vijijini.Alikuwa mfundaji, si mchungaji
Sent from my SM-A720F using Tapatalk
Tunategemea kuona akizikwa na familia yake...Hivi magonjwa mengine yamepumzika kuua watu? Au muhimbili ni kituo cha #covid19 siku hizi
Una maana nduguR. I. P mchungaji
"chozi la mwanamke likitoka sababu ya maumivu au kunung'unika huleta laana"
Sasa wewe jifanye kitunguu maji kuwaliza wadada.
Hatari yani, jamaa ameniuma kama ndugu yangu yani. I used to realy like him dawg! Thats fuxed up!😔😌☹️Huu mwaka ni msako wa nyumba hadi nyumba, mpaka tuonyeshe tulipoficha bange
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa jf hua tunafunguka tu wee weka mambo hadharani hata Kama ni romours sisi tutachambua wenyeweR. I. P mchungaji
"chozi la mwanamke likitoka sababu ya maumivu au kunung'unika huleta laana"
Sasa wewe jifanye kitunguu maji kuwaliza wadada.