Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Nop si huyu mkuu, jamaa naona katika watumishi ambao walikuwa balanced ni huyu jamaa. May his soul rest in Peace in heaven! I hope we meet there some other day.Huyu ndo alikuwa anawakosha wanawake kwa kuponda wanaume? Au sio huyu?