TANZIA TANZIA: Mchungaji Dkt. Peter Mitimingi wa Warehouse Christian Centre (WCC), afariki dunia

TANZIA TANZIA: Mchungaji Dkt. Peter Mitimingi wa Warehouse Christian Centre (WCC), afariki dunia


Mchungaji na mwalimu Dkt. Peter Mitimingi wa Kanisa la Ghala la Chakula au kwa kimombo “Warehouse Christian Centre(WCC)” amefariki dunia, usiku huu.

Kabla ya kuanzisha kanisa lake hilo, alihudumu TAG.

Mch. Mitimingi anadaiwa alikuwa amelazwa Hospitali ya Taifa, Muhimbili.
To be precise it was a Whorehouse Christian Center, kanisa lilijaa vimwana sampuli ya wanavyuo! Historia yake aliyowahi kusema yeye binafsi kwa mdomo wake eti aliwahi kuuza maji mitaani kwa kusukuma mkokoteni huko Mtonimtongani Temeke Dar Es Salaam.
 
Aliyeelewa tafadhari
Screenshot_20200504-085127_Twitter.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mchungaji na mwalimu Dkt. Peter Mitimingi wa Kanisa la Ghala la Chakula au kwa kimombo “Warehouse Christian Centre(WCC)” amefariki dunia, usiku huu.

Kabla ya kuanzisha kanisa lake hilo, alihudumu TAG.

Mch. Mitimingi anadaiwa alikuwa amelazwa Hospitali ya Taifa, Muhimbili.
As you close your eyes in may all your pain and troubles be lost forever R I P
 

Mchungaji na mwalimu Dkt. Peter Mitimingi wa Kanisa la Ghala la Chakula au kwa kimombo “Warehouse Christian Centre(WCC)” amefariki dunia, usiku huu.

Kabla ya kuanzisha kanisa lake hilo, alihudumu TAG.

Mch. Mitimingi anadaiwa alikuwa amelazwa Hospitali ya Taifa, Muhimbili.
WAREHOUSE ni jengo la
kuhifadhi vifaa
au vitu kwa
matumizi ya
baadae.
SILO ghala la kuhifadhi
chakula.
 
Huku ni kanisa Sasa usikariri
Mimi ninatafsiri toka kiingereza kwenda kiswahili.
SILO ni ghala la kuhifadhi chakula.
Ninakubaliana nawe mlilitumia neno hilo kwa maana ya chakula chenu kondoo wa bwana mliokuwa mkiwatafuna, wale mabinti, Jina sahihi lingekuwa WHOREHOUSE.
 
Mimi ninatafsiri toka kiingereza kwenda kiswahili.
SILO ni ghala la kuhifadhi chakula.
Ninakubaliana nawe mlilitumia neno hilo kwa maana ya chakula chenu kondoo wa bwana mliokuwa mkiwatafuna, wale mabinti, Jina sahihi lingekuwa WHOREHOUSE.
sawa🙌
 
Mara ya mwisho kumsikiliza alisema kama uchumba haujafikisha mwaka basi ni batili mnadanganyana.
Alikua ni mwal wa ujasiriamali pia.
 

Mchungaji na mwalimu Dkt. Peter Mitimingi wa Kanisa la Ghala la Chakula au kwa kimombo “Warehouse Christian Centre(WCC)” amefariki dunia, usiku huu.

Kabla ya kuanzisha kanisa lake hilo, alihudumu TAG.

Mch. Mitimingi anadaiwa alikuwa amelazwa Hospitali ya Taifa, Muhimbili.
Mungu amlaze mahala pema peponi.
Mchungaji huyu ali-inspire wengi na uhakika kuwa wale walioguswa naye wakati wa uhai wake thawabu zao zitaendelea kumnufaisha hata huko aendako.
RIP Malimu
 
Back
Top Bottom