Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia mzee amefariki akiwa karantini...bado ni tetesi kuita breaking news hadi tuthibitishe kinagaubaga.Duh..... Hizo ni Breaking News
Ni kweli tumempoteza Mwl Dr.mitimingi usiku huu Mungu ampe pumziko la milele
Umeshajua kwamba kitu kipo serius kweli?Duh!. Shocking!.
RIP Pastor Miti Mingi
P
Hapana, huyu ni moja kati watu waliojua kufundisha habari za mahusiano na saikolojia vilivyo, hajawahi base upande mmoja, ana mafundisho mazuri sana, japo sijawahi kwenda kanisani kwake ila kupitia ktk YouTube channel yake nilimfuatilia Sana.Huyu ndo alikuwa anawakosha wanawake kwa kuponda wanaume? Au sio huyu?
ConfirmedNaskia mzee amefariki akiwa karantini...bado ni tetesi kuita breaking news hadi tuthibitishe kinagaubaga.
Sio huyu!Huyu ndo alikuwa anawakosha wanawake kwa kuponda wanaume? Au sio huyu?
Umri wake miaka mingapi?Naskia mzee amefariki akiwa karantini...bado ni tetesi kuita breaking news hadi tuthibitishe kinagaubaga.
Kaka ukitaka kuwapata wanawake wewe waponde wanaumeHuyu ndo alikuwa anawakosha wanawake kwa kuponda wanaume? Au sio huyu?
RIP MchungajiMchungaji na mwalimu Dkt. Peter Mitimingi wa Kanisa la Ghala la Chakula au kwa kimombo “Warehouse Christian Centre(WCC)” amefariki dunia, usiku huu.
Kabla ya kuanzisha kanisa lake hilo, alihudumu TAG.
View attachment 1439186