MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Hii habari imenipa simanzi. Huyu mchungaji alikuwa tofauti sana na wachumia tumbo wengine. RIP
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama ni kilio kinachotokana na maumivu yale ya raha?R. I. P mchungaji
"chozi la mwanamke likitoka sababu ya maumivu au kunung'unika huleta laana"
Sasa wewe jifanye kitunguu maji kuwaliza wadada.
We naye ulikuwa mfuasi wake kwani? Maana nahisi km unamjua vizuri au?R. I. P mchungaji
"chozi la mwanamke likitoka sababu ya maumivu au kunung'unika huleta laana"
Sasa wewe jifanye kitunguu maji kuwaliza wadada.
R.I.P Pastor. What happened jamani. Juzi juzi nimeangalia YouTube yake akiiishambulia Coronavirus. Akisema watu wasiogope Coronavirus.
Labda alikula Mapapai?View attachment 1439197Kama ni kweli Huu ugonjwa wa kupumua utatupeleka wengi.
Ni kweli tumempoteza Mwl Dr.mitimingi usiku huu Mungu ampe pumziko la milele
Hata kama ni kilio kinachotokana na maumivu yale ya raha?
(Natania tu usije ukanipa za uso. Apumzike salama mshauri nasaha huyu [emoji1545][emoji1545][emoji1545])
View attachment 1439223
RIP Mchungaji. Sijui ni nini kilitokea. Majirani zetu wanasema eti ukiichukulia Coronavirus kikawaidakawaida, yenyewe itakuchukulia isivyokawaida na ukiikana hadharani yenyewe inakukataa hadharani....R.I.P Pastor. What happened jamani. Juzi juzi nimeangalia YouTube yake akiiishambulia Coronavirus. Akisema watu wasiogope Coronavirus.
Alikuwa karantini?Naskia mzee amefariki akiwa karantini...bado ni tetesi kuita breaking news hadi tuthibitishe kinagaubaga.
Kafa kwa #covid19?Tunaposema makanisa yafungwe muwe mnaelewa. RIP mpendwa
We naye ulikuwa mfuasi wake kwani??maana nahisi km unamjua vizuri au?
Sent using Jamii Forums mobile app