Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,997
- 15,112
{Kila Nafsi itaonja mauti}
Pole sana Mpendwa Mgrik.... Sote ndo njia yetu, Moula amalze pema baba yetu.
Pole sana Mpendwa Mgrik.... Sote ndo njia yetu, Moula amalze pema baba yetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii pia haikuwa na haja. . . . . .
Kwani maana yakutumia fake ID nini??????
Wewe unataka kujua jina lake ili likusaidie nini?????
Nimetambusha habari za msiba wa Mgirik kwasababu ni rafiki yangu na ndugu yangu over.
Hakika siwezi kutaji jina la mtu hapa kama ambavyo siwezi kutaja langu, wewe ukitaka m-pm yeye mwenyewe akiona atakutajia ila mimi tafadhalii usinibebeshe mzigo.
Kwanu wewe ulivyotoa taarifa hii ulitegemea itatusaidia nini?
Ok. . . Poleni sana.Nilijua hivo kuwa haina haja, naniliamini maelezo yangu yalijitosheleza, lakini kuna watu watamani kuwajuwa watu kiundani sijui ili iweje???? nikasema labda anataka kuja kuhudhuria mazishi acha nimwelekeze.
Ok. . . Poleni sana.
Acha lipite kwa amani usiendeleze mabishano my dada
Yaani unaniita mimi mtoto? Haya poleni kwa msiba.Heeeeee!!!! we mtoto naomba pita, maana naona unataka kuniharibia mood.
Ok. . . Poleni sana.
Acha lipite kwa amani usiendeleze mabishano my dada
Yaani unaniita mimi mtoto? Haya poleni kwa msiba.