Tanzia: Mfanyabiashara wa madini na mpenzi wa Lulu afariki dunia

Mimi lulu nikimwonaga in person mwili huwa unasisimka kabisa kama nimeona jini. Nakaogopa sana kale katoto. Sana. Kuna kitu pale.
Halafu hashtushwi na kitu. Katakuja kaendeleze uchangudoa vile vile.

Mimi najiulizaga hivi Kesi yake imeishia wapi katoto kakavu haka!lol!
 
Mkuu na mimi naomba unipe channel niingie huko machimbo banaa nataka kuwa millionea,niko fiti kiafya,akili na body fulani hivi ya mkwara ahahaha!nimechoka kusubiri pesa za baba G na mshahara hautoshi ninaopata aaargh!!

Yaani mpaka arudi semina bwana ndio tucheke???niunge na mimi hukooo kwenu teh!teh@tweenty4seven.
 
Nashangaa anajuana hadi na kina diamond,pesa bwana,kwa kweli ni engneer aliefanikiwa

Bongo movie + Bongo fleva, mastar wengi walikuwa wanamjua. Alikuwa akipanda jukwaani lazima apande na pakee ya kutosha. Muulize JB, Dully a.k.a mr misifa, muulize kuhusu Seki? Amewasaidia sana.
 
alikuwa ni mining engineer by professional, product za kwanza UDSM. Alisoma na wakina Samuel yule mkali ambaye alipata first class mwaka wao. Pia alikuwa ni Old boy, alipiga advance pale old moshi akitokea Mbeya.

Ok mkuu mimi tumejuana nae mererani
 
alikuwa ni mining engineer by professional, product za kwanza UDSM. Alisoma na wakina Samuel yule mkali ambaye alipata first class mwaka wao. Pia alikuwa ni Old boy, alipiga advance pale old moshi akitokea Mbeya.
Samweli yupo wapi?alimwoa dada mmoja anaitwa Nshoma
 
Pole the whole family, kweli michepuko sio sili kama una mke muombaji utaishia pabaya watu wanawake wazuri wanaume chugga. ..mwanza uko nini jamani
 
Chonde chonde jamani mtamfanya huyu mtoto wa watu aanze kukimbiwa na wanaume, acheni mzaha bana
SEMA KUKIMBILIA CHEZEA PAPUCHI WATU WANAAMBIWA PALE NI + LAKINI WAPI
 
Ndio maana bongo movie wote vilio Leo maana wanapenda mteremko....

Huyu Mtoto Kama hakuwekeza katika hela alizokuwa anapewa basi atajuta.
 
Humu ndani mnapenda udaku hadi mnaboa, haya familia imekana uharo wenu. Vitendo vya makusudi kama hivi ndo vichochezi vya kusainiwa kwa cyber crime law
 
Haya waanze kumchuria mwengine ..hicho ki Lulu kimekua na kipaji cha kuuaa ...
 
Alikua best yangu sana nimefanya bae biashara hakua n roho ndogo

Inaelekea ulikubali kuwa chini yake, cos Seki ili uwe karibu yake ilikuwa lazima ujishushe, kila kitu ni ndiyo ndiyo. Ukimpinga anaanza kujitenga alikuwa anasonona flan hivi, akawa anajitenga na Matajiri, anatafuta watu watakaomwona wa juu.apumzike kwa Amani.
 
Roho inauma jamani imagine ww ni lulu!!pole aisee she is too young to face all of that muombe mungu akusaidie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…