Tanzia: Mfanyabiashara wa madini na mpenzi wa Lulu afariki dunia


Cha kuhuzunisha zaidi ni wa Tanzania wengi wanampa pole mchepuko lulu kama vile marehemu alikuwa hana mke...

Yaani wanazidi kusapoti kuwa kuiba wanaume wa watu ni sawa. Wengi ambao ni vibinti hawajaonja yao wataijua ndoa...

Inaboa sana.
 
Jamani lulu karudi ig na bonge la post!
Mwenyewe anakwambia vogue in my hands.
Kweli tabia ni kama ngozi.Akiongelewa atasema kaandamwa.
Inawezekana wala hakupewa vogue, sasa kuna haja gani ya kuropoka ovyo.
Nmeshindwa kuweka caption

Kama kweli sitashangaa. Nimesema mara zote, kale sio ka binadamu kale. Msukule ule!! Yule mtoto hana roho!
 
Jamani lulu karudi ig na bonge la post!
Mwenyewe anakwambia vogue in my hands.
Kweli tabia ni kama ngozi.Akiongelewa atasema kaandamwa.
Inawezekana wala hakupewa vogue, sasa kuna haja gani ya kuropoka ovyo.
Nmeshindwa kuweka caption

Hayupi mkuu nimejaribu kumcheki hayupo,
 
Mbona nimetoka huko sasa hivi hakuna kitu? Au mimi ndio nimekosea nini?

Wala hujakosea hayupo huyu anazungumzia ile funpage. Mimi nilimfollow kwa ile person acc
 
screen shot basi utuwekee hapa,wengine hatumo insta

Jamani ile account sio ya Lulu.Ipo edited ina slash mwisho....
Ningemwona mwehu sana.
Acc fake ni offociallulumichael_
 
Mbona nimetoka huko sasa hivi hakuna kitu? Au mimi ndio nimekosea nini?

Kuna fan page kabadili jina na kujiita lulumichael.
Nlishavurugwa ila ni kama anataka kumchafua kapost pic ya lulu na seth saaiz
Ila mbona siku iffollow hii
 
Kuna fan page kabadili jina na kujiita lulumichael.
Nlishavurugwa ila ni kama anataka kumchafua kapost pic ya lulu na seth saaiz
Ila mbona siku iffollow hii

Fanya ku screen shot hiyo picha basi utuwekee maana a/c fake ziko nyingi mpaka nipate hiyo yenye picha ni shughuli.
 
Jamani lulu karudi ig na bonge la post!
Mwenyewe anakwambia vogue in my hands.
Kweli tabia ni kama ngozi.Akiongelewa atasema kaandamwa.
Inawezekana wala hakupewa vogue, sasa kuna haja gani ya kuropoka ovyo.
Nmeshindwa kuweka caption

Mbona account yake haipo bado... hilo jina gani uliloona
 
Cha kuhuzunisha zaidi ni wa Tanzania wengi wanampa pole mchepuko lulu kama vile marehemu alikuwa hana mke...

Yaani wanazidi kusapoti kuwa kuiba wanaume wa watu ni sawa. Wengi ambao ni vibinti hawajaonja yao wataijua ndoa...

Inaboa sana.

Huu msiba unatia simanzi sana marehemu kaumia sehemu ndogo sana ila madaktari wameshindwa fanya chochote cz hatuna vifaa vya kisasa hosp zetu,so sad amekufa huku anajiona mana ameongezewa damu mara 2 ila haikusaidia kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…