nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,379
Haaa ume generalise sio wote wanafanya hivyo... hiyo mimba kweli ipo au ilikua mbwembwee
Mbwembwe zote za hard work pays kumbe kuna the billionaire anafadhili...
Huu sio msiba bali ni aibu.Wala sioni kitu cha kufurahisha bali kuhuzunisha.Huyu mwanaume alikuwa mtu wa aina gani? Aibu gani hii? Hata aamke leo je,ataweza kukabiliana na aibu hii? Amemkosea sana mke wake.Haya mambo yangekuwa siri yake na sio kwenye jamii huku inajulikana kaoa na familia
Ulimbukeni mwingine sio na pesa za haraka.
Jamani lulu karudi ig na bonge la post!
Mwenyewe anakwambia vogue in my hands.
Kweli tabia ni kama ngozi.Akiongelewa atasema kaandamwa.
Inawezekana wala hakupewa vogue, sasa kuna haja gani ya kuropoka ovyo.
Nmeshindwa kuweka caption
anatumia id gani IG
Official_lulumichael.
unajua hapatikaniki kabisa kwa hiyo ID sshv..labda kwangu,nahisi kaifuta mazima au kachange jina
Kama ulimfollow kwa acc yake ya zamani ndo iyo iyo aliorud nayo.
screen shot basi utuwekee hapa,wengine hatumo instaKama ulimfollow kwa acc yake ya zamani ndo iyo iyo aliorud nayo.
Jamani lulu karudi ig na bonge la post!
Mwenyewe anakwambia vogue in my hands.
Kweli tabia ni kama ngozi.Akiongelewa atasema kaandamwa.
Inawezekana wala hakupewa vogue, sasa kuna haja gani ya kuropoka ovyo.
Nmeshindwa kuweka caption
Mbona nimetoka huko sasa hivi hakuna kitu? Au mimi ndio nimekosea nini?
screen shot basi utuwekee hapa,wengine hatumo insta
Wala hujakosea hayupo huyu anazungumzia ile funpage. Mimi nilimfollow kwa ile person acc
Mbona nimetoka huko sasa hivi hakuna kitu? Au mimi ndio nimekosea nini?
Hili ni darasa tosha kwa watakaotia timu uwanja huu.kila mwenza wa lulu anafariki "ghafla" tena kwa kuanguka
Kuna fan page kabadili jina na kujiita lulumichael.
Nlishavurugwa ila ni kama anataka kumchafua kapost pic ya lulu na seth saaiz
Ila mbona siku iffollow hii
Jamani lulu karudi ig na bonge la post!
Mwenyewe anakwambia vogue in my hands.
Kweli tabia ni kama ngozi.Akiongelewa atasema kaandamwa.
Inawezekana wala hakupewa vogue, sasa kuna haja gani ya kuropoka ovyo.
Nmeshindwa kuweka caption
unajua hapatikaniki kabisa kwa hiyo ID sshv..labda kwangu,nahisi kaifuta mazima au kachange jina
Cha kuhuzunisha zaidi ni wa Tanzania wengi wanampa pole mchepuko lulu kama vile marehemu alikuwa hana mke...
Yaani wanazidi kusapoti kuwa kuiba wanaume wa watu ni sawa. Wengi ambao ni vibinti hawajaonja yao wataijua ndoa...
Inaboa sana.