grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,816
Wanabodi,
Mtanisamehe kwa kuchanganya chuzi hapo juu. Nilikuwa nataka kuandika swala la IPTL na sio swala la ndege. Kumradhini...utu uzima tena.
Acha Lulu aendelee na kampeni ya kutupunguzia malimbukeni ambayo yakishika hela kidogo tu yanataka kila mrembo wampitie wakiacha wake/wapenzi wao nyumbani.