Tanzia: Mfanyabiashara wa madini na mpenzi wa Lulu afariki dunia

Tanzia: Mfanyabiashara wa madini na mpenzi wa Lulu afariki dunia

Nimeona picha lulu yupo kwake wanamfariji

Kweli dunia imevaa bukta

Michepuko ina mbwembwe

hahahaaa hahaaaaaa
eeh MUNGU shuka leo maana kufuru zimezidi
na hapo ndo unapoona nguvu ya mke wa ndoa
msibani ht pua haweki
anaishia kujiliwaza home wapiiii
mke mke tu na kimada kimada tu
till death do them apart!!!
 
sasa hapo wajomba na kina baba mkubwa na wadogo wataanza kungalia mali,hawahusiki hata kidogo,ila mke nae angefight amzike hapo hapo kwake tegeta si wana eneo kubwa?wajomba wamepeleka msiba dodoma ili labda wafaidi rambirambi.Ila Seki ilikuwaje akakalia meza ikavunjika?mbona hizo meza huwa ni ngumu sana.wakati anakalia hiyo meza mke wake alikuwepo?

Acha tu cku ikifika imefika alikua amembeba mtoto wke hiyo meza hajawahi kali so ilipovunjika yeye akaanguka kinyume ila hakumwachia mtoto then akanyanyuka kumbe kipande cha kioo kimemchoma kwenye mshipa mkubwa shingoni.anakaa jirani n uncle wake ndio kumpigia aje ampeleke agakhan hpo bliding ilikua n kasi y ajabu.
Hosp wameshindwa cz sehemu yenyewe hatari ikabidi aombe wamuongezee damu.

Then akaanza kuskia kichwa kinauma cz damu imepungua nyingi sana ndio maiti yakamkuta inatia huruma sana
 
mdada ana miaka 36 hana mchumba na sio kwamba vidume havimtaki bali anajiona kwa uzuri wake angestahili kuwa na bilionea na sii kuwa na mkaka wa kawaida nayejiheshima mwenye kipato halali

mimi ni mcharuko kikweli ila nina mipaka ambayo zivuki hata kidogo,
najielewa kuwa lazma niwe na mwanaume wa kuwa mume wa kubembelezana na sio kupanikishwa na waume za watu.
Mme wa mtu staki mahusiano nkizidiwa tamaa ya fedha ni hit and run na sio ajiwekeze kwangu kuniharibia mume mtarajiwa

Naomba tutafutane kama hutajali. Tunaweza kufanya project.
 
Acha Lulu aendelee na kampeni ya kutupunguzia malimbukeni ambayo yakishika hela kidogo tu yanataka kila mrembo wampitie wakiacha wake/wapenzi wao nyumbani.

Ha aaaaaah very true wakome viherehere na kujifanya wanajua kukojolea kila papuchi simply kwa sababu Wana hela.
 
Sasa hivi nimehamia kwa Mange....

Ni mwendo wa kumchamba mtu mzima yule asiyekuwa na haya...

Waziwazi anatetea umalaya wa lulu kuchukua mume wa mtu...

Mfyuuu zake


hahahaaa hahaaaaaa
eeh MUNGU shuka leo maana kufuru zimezidi
na hapo ndo unapoona nguvu ya mke wa ndoa
msibani ht pua haweki
anaishia kujiliwaza home wapiiii
mke mke tu na kimada kimada tu
till death do them apart!!!
 
Alizipata....ndio yakawa yanalia mbwata mbwata...



Ndio maana wanawake wa siku hizi wanataka mwanaume mwenye hela zake tayari.....

Unakaa na mtu...mnastruggle.... unajinyima...unakopa huko na huko huvai vizuri ukapendeza....

Ngoja zikubali sasa......huna rangi utaacha kuona.....

hhabari ndo hyo best maana hawa wanaume sio ndugu kabisa bora umkute nacho km kuongezeka kiongezeke tukiwa wote ila
from zero to hero sio kabisa ...
wakipata utajijuu....!!
 
umeona eeh,yaani inauma sana,itakuwa alimdharau sana mke wake,ndo maana wana nguvu hadi ya kiweka vidani vya tanzanite kwenye insta.Kwa kweli alizidi

Tatizo la Lulu ni elimu, tumsamehe
 
Alikuwa wa kujificha wapi

Hizo picha alizopigwa akiwa bar na lulu ndio alikuwa kajificha????

Huyo mwanaume alikuwa ni muhuni tu wala hakujificha.........

Hiyo picha itakua alipigwa bila kujua istoshe mbna ni hiyo moja 2.amerudi dar mwaka jana june wakti yuko huko alikua anaonekana jmos mara chache sana.wkend lazma alikua aende kuangalia familiy yke dar
 
Hiyo picha itakua alipigwa bila kujua istoshe mbna ni hiyo moja 2.amerudi dar mwaka jana june wakti yuko huko alikua anaonekana jmos mara chache sana.wkend lazma alikua aende kuangalia familiy yke dar

Lulu kaweka.msiba huko kwake

Kila mtu alijua anatembea na siri

Sasa siri gani hii ya kila mtu kuijua????

Hiyo weekend anaweza kuanzia kwa lulu halafu akamalizia kwa mkewe vile vile
 
Lulu kaweka.msiba huko kwake

Kila mtu alijua anatembea na siri

Sasa siri gani hii ya kila mtu kuijua????

Hiyo weekend anaweza kuanzia kwa luku halafu akamalizia kwa mkewe vile vile

Huyu mtoto mavi nini
Anaanzaje kuweka msiba wa mume wa mtu...
Katalaaniwa haka
 
Ha aaaaaah very true wakome viherehere na kujifanya wanajua kukojolea kila papuchi simply kwa sababu Wana hela.

Huyu kweli alikuwa limbukeni...nasikia alianza na jini Kabula...na alikuwa anajisifia anavyowapanga bongo movie...yani HG wangu ana data zote maana ni mpenzi wa magazeti ya udaku hivyo yamemfanya amjue vizuri...hawa wataja pukutika kama ----- ndio watajua kama papuchi ni biashara or not...nasikia alikuwa anajisifu kuwa bado wema tu the rest kamaliza...
 
hahahaaaa karibu sana jijini best
ningekua sina kiapo cha baba askofu leo ningekutafuta nami nimrushe roho@Dinazarde@nifah na@Ms lincoln

Kwi kwi kwi...akuachie basi hata tanzanite.
 
umeona eeh,yaani inauma sana,itakuwa alimdharau sana mke wake,ndo maana wana nguvu hadi ya kiweka vidani vya tanzanite kwenye insta.Kwa kweli alizidi

wanatia hasira sana hawa kina husna!yaani wameahindwa hata kua na adabu kweli??
 
Back
Top Bottom