Tanzia: Mfanyabiashara wa madini na mpenzi wa Lulu afariki dunia

Tanzia: Mfanyabiashara wa madini na mpenzi wa Lulu afariki dunia

Hamna anaependa.... basi tu wengine hawaweki wazi hisia zao

Nani anayependa upuuzi.Mimi mwenyewe hapa nawazia hiyo mbinu ya Fundisi Muhapa.
Ni kama nikifanyiwa hivi alivyofanyiwa huyo mke wa marehemu lakini.Sitoweza kuvumilia.

hhahaaahaaa
kiukweli yanaumiza sema mwingine anakua hana jinsi tu ndo anavumilia
anakufa na tai shingoni
akifa km hv ndo unashukuru MUNGU bora kafa
una relax life linasonga!
 
Last edited by a moderator:
hhhahhaaaa eti uhamie jengo la serikali
kweli kabisa ht mi staki kumiliki cha moto ht dkk zero


maana dah!!hapana kwa kweli

mi nimemuambia sisy hizo picha ungenrushia nisambaze kwenye magroup ya whasap yoooteee

shenzzzyyy zake

Mke wangu umetusema sana wanaume mpaka natetemeka. Mchezo wa kuchepuka nimeacha kuanzia leo.

Next weekend tunaenda Dodoma Hotel tuka-renew ndoa yetu. Na nyaraka zote za nyumba yetu Kisasa nakukabidhi.
 
Mke wangu umetusema sana wanaume mpaka natetemeka. Mchezo wa kuchepuka nimeacha kuanzia leo.

Next weekend tunaenda Dodoma Hotel tuka-renew ndoa yetu. Na nyaraka zote za nyumba yetu Kisasa nakukabidhi.

hhhahaaaaahaaaaaas
hhhhaaasjhhhaaaahaaaassss
hhhhhaaaahhhhaaahhhaaas
asante jf!!!nimecheka sana!!
 
Mke wangu umetusema sana wanaume mpaka natetemeka. Mchezo wa kuchepuka nimeacha kuanzia leo.

Next weekend tunaenda Dodoma Hotel tuka-renew ndoa yetu. Na nyaraka zote za nyumba yetu Kisasa nakukabidhi.

Hahahaaa
 
Mke wangu umetusema sana wanaume mpaka natetemeka. Mchezo wa kuchepuka nimeacha kuanzia leo.

Next weekend tunaenda Dodoma Hotel tuka-renew ndoa yetu. Na nyaraka zote za nyumba yetu Kisasa nakukabidhi.

dodoma hotel sipataki
nataka pale pale nyuma kwetu st.gasper ndo pazuri haaaaswaaaa!!
 
dodoma hotel sipataki
nataka pale pale nyuma kwetu st.gasper ndo pazuri haaaaswaaaa!!

Usijali tutaenda, kwa idadi ya siku unazotaka. Usisahau zile frem, moja nakuwekea vifaa vya saloon high class. Love you much
 
Usijali tutaenda, kwa idadi ya siku unazotaka. Usisahau zile frem, moja nakuwekea vifaa vya saloon high class. Love you much

hahaaaa hhaaa
si unakumbuka last yr nilikuambia nataka kufungua saloon miongoni mwa zile frem zetu?
aisee nakupenda sana na mie my husband mmmwwwaaahh
nimekusamehe kila kitu..
 
Mfadhili ndo huyo hayupo tena, sijui watu wataishi vipi mujini. Shughuli tena si ndo mpaka instagram watu wamefunga.
 
Mkuu kuna kioo kilimtoboa shingoni kwa nyuma kwenye mshipa ndio blinding ikawa kubwa ila ukiwa na imani zilee unaweza amini.bt ni ajali kma ajali zingine mama alinde mali tu mana mabazazi yameshajua ana hela yataruka nae yammalize.istoshe cheating imekua ki2 cha kawaida kwasasa c wamama,wababa,vijana wote full burudani.

Hivi nani hataki kukaa nyumba nzuri kudrive gari nzuri mpka wake za watu wanahongwa magari.kuchepuka hakujaanza leo ila hii ya lulu imechangiwa n mitandao n ulimbukeni wa hivi vinuka mkojo tu.angekua anadate mtu wa 35yrz usingeona huo upuuzi.kuna mdada kadate nae mda n msomi tulikua tunajua watu w karibu n ndio amefaidika n nyumba

Hivi ni "bleeding" au "blinding"?
 
Poor her she looks dejected for the loss of her mchepuko

I hope the baby she is expecting is his? 🙂
 

Attachments

  • IMG-20150419-WA0010.jpg
    IMG-20150419-WA0010.jpg
    120.1 KB · Views: 2,540
Poor her she looks dejected for the loss of her mchepuko

I hope the baby she is expecting is his? 🙂
Hivi haka kajinga ni kweli kameweka msiba kwake!!! nilifikiri ni stori za mitandao . Hapo ndio kataelewa tofauti ya mke na mchepuko.
 
Back
Top Bottom