TANZIA: Mkuu wa Uhamiaji mkoa wa Kagera, Pendo Butenghe afariki dunia

Hivi hizo sayari nyingine wanadamu hawawezi kuishi tufanye mpango wa kwenda huko tukae kwa muda.
 
Bwashee kumbe unaripoti kutokea pande zote za nchi?........nilidhani Agakhan!
 
Siyo shida ya kupumua tena?

R.I.P
 
Natamani magu angedanja kwa hizi changamoto za upumuaji ili watu washike adabu naye azikwe na watu wasiozidi10, mshenzy kabisa huyu jamaa. Ameshindwa kuchukua hatua sitahiki watu wanadondoka tu! Mungu atunusuru kwa kweli!
 
Changamoto ya kupumua hii itatumaliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…