TANZIA: Msanii wa Uganda, Moses Sekibooga a.k.a Radio afariki dunia

Haya..japo huu Uzi tayari upo mkuu[emoji1] [emoji1]
 
Kwa tabia hiyo ya kwenda kufanya fujo club, wacha afe tu. Msanii ni Kiongozi, anatakiwa kuwa na tabia nzuri katika jamii, hata kama kacholozwa, kaonewa au kutukanwa hatakiwa kuchukua hatua mkononi, bali kwenda kutoa taarifa kwa Mamlaka husika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…