FakDeltaUsiku wa leo nilipokea taarifa za kusikitisha kuhusu mwanachama ip_mob amefariki dunia.
Kwa ufupi ni kwamba alikutwa amefariki akiwa nyumbani kwake alipopanga, tumuombe pumziko la milele huko alik, Amina.
Habari hii ni kwa mujibu wa Gallius ambaye alikuwa mtu wake wa karibu
Kama kuna update yoyote tutajulishana hapahapa
Kwakuwa alichagua kuwa anonymous kwenye maisha yake JF halitakuwa jambo la busara labda kwa kibali cha ndugu zake ama Gallius anaweza kutupa muongozo kwenye hiliBora lingetajwa jina lake kamili na wapi alipofia..
Unaweza kukuta huyu mtu mnajuana mtaani na uko msibani kwake huku unasoma hapa JF kama msiba mwingine..
Binafsi Niko msibani hapa mbezi wa mtu mwingine but nikawaza what if?
Usiku wa leo nilipokea taarifa za kusikitisha kuhusu mwanachama ip_mob amefariki dunia.
Kwa ufupi ni kwamba alikutwa amefariki akiwa nyumbani kwake alipopanga, tumuombe pumziko la milele huko alik, Amina.
Habari hii ni kwa mujibu wa Gallius ambaye alikuwa mtu wake wa karibu
Kama kuna update yoyote tutajulishana hapahapa
Duh RIP mate...poleni sana ndugu,jamaa na rafiki wa mwenzetu alietangulia. Mungu awatie nguvu kwenye kipindi hiki kigumu.Usiku wa leo nilipokea taarifa za kusikitisha kuhusu mwanachama ip_mob amefariki dunia.
Kwa ufupi ni kwamba alikutwa amefariki akiwa nyumbani kwake alipopanga, tumuombe pumziko la milele huko alik, Amina.
Habari hii ni kwa mujibu wa Gallius ambaye alikuwa mtu wake wa karibu
Kama kuna update yoyote tutajulishana hapahapa
My God jana tu tulikua nae kwenye mada hii..
Mungu amjalie pumziko jema la milele, Death doesn't come to the wicked and leave the Innocent behind 🥺 🥺 🥺
Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?
Salute mates... Kwenye mizunguko yetu ya maisha kuna wakati unakua upo very attached na mtu Fulani either ni rafiki wa kawaida kama Man to man au Man to woman, pengine ni mpenzi wako umpendae sana sana. Yaani unakuta una mpenzi roho yako imetokea kumpenda sana husikii wala huoni juu yake, kila...www.jamiiforums.com
Original Post naona nani katembelea uzi na muda gani!Sijaona post yake kwenye huo uzi for the last 4 days.