TANZIA Tanzia: Mwana JF mwenzetu ip_mob afariki dunia

TANZIA Tanzia: Mwana JF mwenzetu ip_mob afariki dunia

Usiku wa leo nilipokea taarifa za kusikitisha kuhusu mwanachama ip_mob amefariki dunia.

Kwa ufupi ni kwamba alikutwa amefariki akiwa nyumbani kwake alipopanga, tumuombe pumziko la milele huko alik, Amina.

Habari hii ni kwa mujibu wa Gallius ambaye alikuwa mtu wake wa karibu

Kama kuna update yoyote tutajulishana hapahapa
FakDelta

R. I. P
 
Bora lingetajwa jina lake kamili na wapi alipofia..

Unaweza kukuta huyu mtu mnajuana mtaani na uko msibani kwake huku unasoma hapa JF kama msiba mwingine..

Binafsi Niko msibani hapa mbezi wa mtu mwingine but nikawaza what if?
Kwakuwa alichagua kuwa anonymous kwenye maisha yake JF halitakuwa jambo la busara labda kwa kibali cha ndugu zake ama Gallius anaweza kutupa muongozo kwenye hili
 
Usiku wa leo nilipokea taarifa za kusikitisha kuhusu mwanachama ip_mob amefariki dunia.

Kwa ufupi ni kwamba alikutwa amefariki akiwa nyumbani kwake alipopanga, tumuombe pumziko la milele huko alik, Amina.

Habari hii ni kwa mujibu wa Gallius ambaye alikuwa mtu wake wa karibu

Kama kuna update yoyote tutajulishana hapahapa

Apumzike kwa amani mja wa mola huyu.
 
Usiku wa leo nilipokea taarifa za kusikitisha kuhusu mwanachama ip_mob amefariki dunia.

Kwa ufupi ni kwamba alikutwa amefariki akiwa nyumbani kwake alipopanga, tumuombe pumziko la milele huko alik, Amina.

Habari hii ni kwa mujibu wa Gallius ambaye alikuwa mtu wake wa karibu

Kama kuna update yoyote tutajulishana hapahapa
Duh RIP mate...poleni sana ndugu,jamaa na rafiki wa mwenzetu alietangulia. Mungu awatie nguvu kwenye kipindi hiki kigumu.
 
My God jana tu tulikua nae kwenye mada hii..
Mungu amjalie pumziko jema la milele, Death doesn't come to the wicked and leave the Innocent behind 🥺 🥺 🥺

Sijaona post yake kwenye huo uzi for the last 4 days.
 
Back
Top Bottom