FakDeltaUsiku wa leo nilipokea taarifa za kusikitisha kuhusu mwanachama ip_mob amefariki dunia.
Kwa ufupi ni kwamba alikutwa amefariki akiwa nyumbani kwake alipopanga, tumuombe pumziko la milele huko alik, Amina.
Habari hii ni kwa mujibu wa Gallius ambaye alikuwa mtu wake wa karibu
Kama kuna update yoyote tutajulishana hapahapa
R. I. P