Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
Inna lillah wainna ilayhi raajiunSiku chache zilizopita Intelligent businessman alianzisha Uzi wa kumpongeza National Anthem kwa kupata watoto mapacha katika uzao wake wa kwanza Pongezi mwanaJF "National Anthem, kwa kupata watoto mapacha
Kwa bahati mbaya, taarifa zilizonifikia mida hii ni kwamba hao watoto hatunao tena.
Natoa pole kwa National Anthem pamoja na familia yake kwa ujumla. Tukiwa kama wanachama wenzake, tutumie comment box au PM kumfariji na kumpa pole.
sana sana sana!Pole sana mkuu,hivi wamefariki wote?inaumiza na inafikirisha
Aisee pole sana kwake sijui uchungu wake uooje nilifiwa tu na mtoto tumboni 7 months sikuwa sawa kwa kweli nikawa nalia naona navurugwa NIKAMUOMBA Dr kwa Usalama wa Afya yangu bora nibebe mimba haraka Dr akakubali ila niwe kwenye uangalizi Allah akanijalia very cute handsome baby boy, Mwenyeezi Mungu ndio anaetoa na kuchukua basi atawapa watoto wengine πSiku chache zilizopita Intelligent businessman alianzisha Uzi wa kumpongeza National Anthem kwa kupata watoto mapacha katika uzao wake wa kwanza Pongezi mwanaJF "National Anthem, kwa kupata watoto mapacha
Kwa bahati mbaya, taarifa zilizonifikia mida hii ni kwamba hao watoto hatunao tena.
Natoa pole kwa National Anthem pamoja na familia yake kwa ujumla. Tukiwa kama wanachama wenzake, tutumie comment box au PM kumfariji na kumpa pole.
Pole kwa uliyopitia. Hongera pia.Aisee pole sana kwake sijui uchungu wake uooje nilifiwa tu na mtoto tumboni 7 months sikuwa sawa kwa kweli nikawa nalia naona navurugwa NIKAMUOMBA Dr kwa Usalama wa Afya yangu bora nibebe mimba haraka Dr akakubali ila niwe kwenye uangalizi Allah akanijalia very cute handsome baby boy, Mwenyeezi Mungu ndio anaetoa na kuchukua basi atawapa watoto wengine π
Very sad πππ’π’Siku chache zilizopita Intelligent businessman alianzisha Uzi wa kumpongeza National Anthem kwa kupata watoto mapacha katika uzao wake wa kwanza Pongezi mwanaJF "National Anthem, kwa kupata watoto mapacha
Kwa bahati mbaya, taarifa zilizonifikia mida hii ni kwamba hao watoto hatunao tena.
Natoa pole kwa National Anthem pamoja na familia yake kwa ujumla. Tukiwa kama wanachama wenzake, tutumie comment box au PM kumfariji na kumpa pole.
yani hizi taarifa mimi zinaniumiza jamanJamaniii dah... [emoji22][emoji22][emoji22]
Pole kakaangu National Anthem na kwa familia pia ..may their sweet soul rest in eternity.. [emoji120] [emoji122] Dah
Tunamtakia Pole kwa msiba mzito.Siku chache zilizopita Intelligent businessman alianzisha Uzi wa kumpongeza National Anthem kwa kupata watoto mapacha katika uzao wake wa kwanza Pongezi mwanaJF "National Anthem, kwa kupata watoto mapacha
Kwa bahati mbaya, taarifa zilizonifikia mida hii ni kwamba hao watoto hatunao tena.
Natoa pole kwa National Anthem pamoja na familia yake kwa ujumla. Tukiwa kama wanachama wenzake, tutumie comment box au PM kumfariji na kumpa pole.