TANZIA: Mwanachama mwenzetu National Anthem amefiwa na mapacha wake

TANZIA: Mwanachama mwenzetu National Anthem amefiwa na mapacha wake

Siku chache zilizopita Intelligent businessman alianzisha Uzi wa kumpongeza National Anthem kwa kupata watoto mapacha katika uzao wake wa kwanza Pongezi mwanaJF "National Anthem, kwa kupata watoto mapacha

Kwa bahati mbaya, taarifa zilizonifikia mida hii ni kwamba hao watoto hatunao tena.

Natoa pole kwa National Anthem pamoja na familia yake kwa ujumla. Tukiwa kama wanachama wenzake, tutumie comment box au PM kumfariji na kumpa pole.
Inna lillah wainna ilayhi raajiun
 
Siku chache zilizopita Intelligent businessman alianzisha Uzi wa kumpongeza National Anthem kwa kupata watoto mapacha katika uzao wake wa kwanza Pongezi mwanaJF "National Anthem, kwa kupata watoto mapacha

Kwa bahati mbaya, taarifa zilizonifikia mida hii ni kwamba hao watoto hatunao tena.

Natoa pole kwa National Anthem pamoja na familia yake kwa ujumla. Tukiwa kama wanachama wenzake, tutumie comment box au PM kumfariji na kumpa pole.
Aisee pole sana kwake sijui uchungu wake uooje nilifiwa tu na mtoto tumboni 7 months sikuwa sawa kwa kweli nikawa nalia naona navurugwa NIKAMUOMBA Dr kwa Usalama wa Afya yangu bora nibebe mimba haraka Dr akakubali ila niwe kwenye uangalizi Allah akanijalia very cute handsome baby boy, Mwenyeezi Mungu ndio anaetoa na kuchukua basi atawapa watoto wengine 🙏
 
Aisee pole sana kwake sijui uchungu wake uooje nilifiwa tu na mtoto tumboni 7 months sikuwa sawa kwa kweli nikawa nalia naona navurugwa NIKAMUOMBA Dr kwa Usalama wa Afya yangu bora nibebe mimba haraka Dr akakubali ila niwe kwenye uangalizi Allah akanijalia very cute handsome baby boy, Mwenyeezi Mungu ndio anaetoa na kuchukua basi atawapa watoto wengine 🙏
Pole kwa uliyopitia. Hongera pia.
 
Siku chache zilizopita Intelligent businessman alianzisha Uzi wa kumpongeza National Anthem kwa kupata watoto mapacha katika uzao wake wa kwanza Pongezi mwanaJF "National Anthem, kwa kupata watoto mapacha

Kwa bahati mbaya, taarifa zilizonifikia mida hii ni kwamba hao watoto hatunao tena.

Natoa pole kwa National Anthem pamoja na familia yake kwa ujumla. Tukiwa kama wanachama wenzake, tutumie comment box au PM kumfariji na kumpa pole.
Tunamtakia Pole kwa msiba mzito.
 
Back
Top Bottom