TANZIA: Mwanachama mwenzetu National Anthem amefiwa na mapacha wake

TANZIA: Mwanachama mwenzetu National Anthem amefiwa na mapacha wake

duh pole kwawafiwa
ila mambo ya mtandao tupunguze kujianika sana
Kuna director mmoja sio MTANZANIA niliwai kua nae karib...
Akanambia nisipende kuanika maisha yangu kwenye social media....

Ni kama Ali cement hii point ya kuto kuweka maisha binafsi on-line....

Natamani kusikia kutoka kwako kwanini umesema ivyo? Kama hauto jali tell us....

All in all ,
Sote safari yetu ni Moja siku Moja lazima tutakufa....

Pole sana ndugu yangu National Anthem
 
Kuna director mmoja sio MTANZANIA niliwai kua nae karib...
Akanambia nisipende kuanika maisha yangu kwenye social media....

Ni kama Ali cement hii point ya kuto kuweka maisha binafsi on-line....

Natamani kusikia kutoka kwako kwanini umesema ivyo? Kama hauto jali tell us....

All in all ,
Sote safari yetu ni Moja siku Moja lazima tutakufa....

Pole sana ndugu yangu National Anthem
maishe yako binafsi maana yake ni yako haina haja watu kuyajua tena kwenye mtandao ambao hausahau.
unapoyaweka kila mtu anakuwa na tafsiri zake kichwani wengine wanachukulia kawaida wengine unajisikia nk shida ni kwa wale wenye kuchukia na ndio asilimia kubwa apo utapata wale amba akiona kitu kisha akashituka lazima kiyumbe pia unaweza jikosesha mengi tuh kutokana na kuweka mambo yako mtandaoni mtu anaweza kukutafsiri we ni mkuda huna koromeo hufai kufanya nae kazi nk.pia unaweza pata watu wa kupongeza kutoa pole kumbe wanakung'ong'a
 
Siku chache zilizopita Intelligent businessman alianzisha Uzi wa kumpongeza National Anthem kwa kupata watoto mapacha katika uzao wake wa kwanza Pongezi mwanaJF "National Anthem, kwa kupata watoto mapacha

Kwa bahati mbaya, taarifa zilizonifikia mida hii ni kwamba hao watoto hatunao tena.

Natoa pole kwa National Anthem pamoja na familia yake kwa ujumla. Tukiwa kama wanachama wenzake, tutumie comment box au PM kumfariji na kumpa pole.
Ni kipindi kigumu mno kuondokewa na uzao hasa ule wa kwanza.. Pole sana National Anthem kwa mtihani huu uliojaa maswali mengi.. Tuko pamoja nawe
 
Back
Top Bottom