TANZIA: Mwanahabari mkongwe, Bi Sarah Dumba afariki dunia ghafla akiwa Njombe

Pole Sana wafiwa!Sara Dumba nilimfahamu vizuri mwaka 2005 wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu.Nilikuwa naye kwa timu ya media ku-repot kampeni za mgombea mwenza wa chama fulani kwa kipindi kile.Ni mama msikivu,mpole na asiye na papara ktk kufanya jambo.RIP mama.
 
RIP Sara, enzi za RT Commercial Service ikifika saa 11 jioni tulikuwa tunaomba Sara awe ndio mtangazaji wa zamu hapo ilikuwa BOLINGO TUPU hakuwa na mpinzani. Poleni wafiwa.
 
Maskini...Mama Na Mwanaaa..watoto wasafii moyoni Ni nyota ya machoo ya wazaziii sisi Ni mauaa tuliopandwa Na Mungu mwenyeziii...Hukasirikaa Na wenzaoo Mara hupatana Na wenzaoo..watoto wasafi moyoni Hawana Hiraaa moyoniii...×.........
 
Innalillah waina'illah ria'jiun, upunmzike kwa amani shangazi. Nakumbuka akiwa mwakilishi wa RTD Morogoro, alikuwa akija kututembelea primary school na kufanya vipindi vya watoto.
 


.May God Rest her In Accordance (R.I.A)
 
Maskini...Mama Na Mwanaaa..watoto wasafii moyoni Ni nyota ya machoo ya wazaziii sisi Ni mauaa tuliopandwa Na Mungu mwenyeziii...Hukasirikaa Na wenzaoo Mara hupatana Na wenzaoo..watoto wasafi moyoni Hawana Hiraaa moyoniii...×.........
sifahamu chochote kuhusu huyu mama
naomba unifahamishe huu wimbo siulikuwa unaimbwa kipindi cha watoto cha radio one na ile sauti ni yake
pumzika kwa amani
 
Hii style ya magufuli ya kutunbua inasababisha vifo visivo vya lazma.nywa rest in peace mama.nakumbuka ETD enz za utotoni
 
sifahamu chochote kuhusu huyu mama
naomba unifahamishe huu wimbo siulikuwa unaimbwa kipindi cha watoto cha radio one na ile sauti ni yake
pumzika kwa amani
Mama ni mwanahabar wa kale alikuwa naendesha kipindi cha mama na mwana RTD
 

HAHHAHHAHA.mkuu nakumbuk mwaka92 naanza la.kwanza huyu.mama ni mtangazaji mtu mzima sio kabinti sasa leo karibu miaka30 bado kweeeli yupo kazini
 
Labda alisikia List mpya ya MaDC hayupo preasure hizii duuu
 

Duh, dada yangu ametangulia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…