Chakochangu
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 2,668
- 2,164
Marehemmu, Salla Dumba, Ahmed Kipozi, Bety Mkwasa, Shabani Kisu, na kuna mwingine nimemsahau mwenyeji wa maeneo ya Masasi kule Mtwara. Inawzekana wapo wengine ambao nimewasahau.
Hivi wote hawa waliteuliwa kipindi cha Jakaya?