TANZIA: Mwanamuziki wa bongo fleva, Salum Mohamed maarufu kwa jina la Sam wa Ukweli afariki dunia

TANZIA: Mwanamuziki wa bongo fleva, Salum Mohamed maarufu kwa jina la Sam wa Ukweli afariki dunia

Eeee na wanaume ni ngumu sana kupata HIV kama unamuandaa mwanamke vizuri,,na ukihisi hapa nooma na umepiga kavu kimbia kaoshe dudu yako na sabuni haraka
Ndio maana natembea na detergent kwenye gari.....

Baada ya kuloweka kwenye nani naizamisha kwenye kidumu cha detergent na maisha yanaendelea.....

Hata hivyo ngozi ya dudu kuchubuka kazi kwelikweli ndio maana prevalence kwetu iko chini [emoji846][emoji846][emoji846][emoji38][emoji38][emoji38]
 
jamaa alikuwa anaimba kwa kubana pua (mbana pua) ngoma yake ya sina raha niliielewa sana. Apumzike kwa Amani
 
Ukimwi unaua... ni wazi marehemu alichelewa kuanza kutumia ARVs kwa kuamini kuwa sio ukimwi bali amerogwa....pengine alikuwa na zunguka kwa waganga tuu badala ya hospitali... ni wazi alifungiwa ndani tuuu...
Lazima sote tujue UKIMWI upo na unaendelea kuuwa....
Well said mkuu.
 
Ndio maana natembea na detergent kwenye gari.....

Baada ya kuloweka kwenye nani naizamisha kwenye kidumu cha detergent na maisha yanaendelea.....

Hata hivyo ngozi ya dudu kuchubuka kazi kwelikweli ndio maana prevalence kwetu iko chini [emoji846][emoji846][emoji846][emoji38][emoji38][emoji38]
We siku ile ulinidanganyaaa eeee eti oooh niliambukizwaa weweeee
 
Aliumwa jamani.kwanini hawakumpa dawa? Niliumia sana.alomwambukiza ana dhambi sana
Madansa wana mambo ya ajabu,,,yani wao ngono zembe ndo fasheni kwao,,sasa hata dawa sidhani kama alizingatia na usikute alipima late, mana alikua kashaisha kabisaa maskini
 
Back
Top Bottom