TANZIA: Mwanamuziki wa bongo fleva, Salum Mohamed maarufu kwa jina la Sam wa Ukweli afariki dunia

TANZIA: Mwanamuziki wa bongo fleva, Salum Mohamed maarufu kwa jina la Sam wa Ukweli afariki dunia

We mabaya na majungu so kwenu tu hata kwetu wapo
Bora umfadhili mbuzi utamla mchuzi
RIP
 
T̠̠̠U̠̠̠J̠̠̠I̠̠̠K̠̠̠U̠̠̠M̠̠̠B̠̠̠U̠̠̠S̠̠̠H̠̠̠E̠̠̠ T̠̠̠U̠̠̠

*Watu 81,000 nchini wanapata maambukizi mapya ya VVU kwa mwaka, sawa na wastani wa watu 255 kwa siku.

*Kati ya watu 255,asilimia 40 (sawa na watu 90) ni vijana wenye umri kati ya miaka 14-24.

*Na kwenye vijana hao 90, 72 ni wasichana na 18 wa wavulana [1].

C͟͟H͟͟A͟͟N͟͟Z͟͟O͟͟

1.Ripoti ya tathmini ya mazingira ya kisheria katika mwitikio wa Ukimwi.
 
RIP nakumbuka nilicheza Sana wimbo wake sababu ya ulofa mwaka 2011
 
Unajua maana breaking news? Unajua maana ya news updates? Ukikuta mtu amefariki njiani hautakiwi kutoa taarifa hadi ujue chanzo chake? Kichwani mwako kuna ubongo au maganda ya karanga?
Atakuwa na Boflo kichwani.
 
Nadhani wale makamanda wa UVCCM wataupokea tena mwili kwa gwaride maana mjomba wa mama mdogo wa mdogo wa kaka wa mareheku mama yake mama mkubwa wa mjomba wa mama wa Sam wa Ukweli alikuwa mjumbe wa shina la CCM.
 
Pale Juu mwishoni mwishoni wameandika kua kuna Jamaa aitwa Steve kasema eti Sam alimwambia anaumwa UKIMWI ila ni wa Kulogwa
Huyo Steve ni yule dogo aliacha darasa la 5 nadhani kwa sababu ya udancer alikua anajiita Jobiso akina Koffi na Defao walimdanganya wataondoka naye miaka hiyo so IQ ni mle mle hata ukimsikiliza,Mama yake aliondoka na huo huo naye alikua dancer na akina Black Moses enzi hizo alikua anajiita Janet Jackson ndio maana alikua muwazi kuutaja Ukimwi nadhan
 
Vvu vina uwezo wa kuishi kwenye mate?

Kwa hiyo tusema mtu ambaye hana vvu akiingiza mara moja tu kwenye uchi wa mwanamke mwenye vvu tayari kaunasa?

Embu kuwa serious bhasi....
Hahaaaah mkuu nakutania...kupata vvu ni kazi sana..ingekuwa ni kirahisi rahisi sana sjui kama kuna ambaye angepona....but tuwe makini
 
Rest easy Sam,, Ila Jaman Kuna watu wanajua kumnanga marehemu [emoji119]
 
Back
Top Bottom