Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
*Mwanaume kifua babu* hapo neno *babu* umealibu mjomba wanaume hawazungumzi hivyo.Hahahaha chaumbeya wa kiume info huna lakini mbio mbio kama umeshikishwa kaa la moto kuandika habari kama kazimiaa je???
Mwanaume kifuaa babu.....ww una mapafu tu
UKIMWI WA KULOGWANini chanzo cha kifo chake?
Atakuwa na Boflo kichwani.Unajua maana breaking news? Unajua maana ya news updates? Ukikuta mtu amefariki njiani hautakiwi kutoa taarifa hadi ujue chanzo chake? Kichwani mwako kuna ubongo au maganda ya karanga?
Huo wimbo hajapiga yeye mkuu anaitwa Top CRIP nakumbuka nilicheza Sana wimbo wake sababu ya ulofa mwaka 2011
Huyo Steve ni yule dogo aliacha darasa la 5 nadhani kwa sababu ya udancer alikua anajiita Jobiso akina Koffi na Defao walimdanganya wataondoka naye miaka hiyo so IQ ni mle mle hata ukimsikiliza,Mama yake aliondoka na huo huo naye alikua dancer na akina Black Moses enzi hizo alikua anajiita Janet Jackson ndio maana alikua muwazi kuutaja Ukimwi nadhanPale Juu mwishoni mwishoni wameandika kua kuna Jamaa aitwa Steve kasema eti Sam alimwambia anaumwa UKIMWI ila ni wa Kulogwa
Hahaaaah mkuu nakutania...kupata vvu ni kazi sana..ingekuwa ni kirahisi rahisi sana sjui kama kuna ambaye angepona....but tuwe makiniVvu vina uwezo wa kuishi kwenye mate?
Kwa hiyo tusema mtu ambaye hana vvu akiingiza mara moja tu kwenye uchi wa mwanamke mwenye vvu tayari kaunasa?
Embu kuwa serious bhasi....
Hilo ndio la msingi mkuu .....Hahaaaah mkuu nakutania...kupata vvu ni kazi sana..ingekuwa ni kirahisi rahisi sana sjui kama kuna ambaye angepona....but tuwe makini
Aliimba "hata kwetu wapo" sina raha'Ndiye aliyeimba ulofa
Yawezekana sio dogo, yawezekana sina access kijijini nilipoUtakuwa dogo sana, "SINA RAHA" ilikuwaga kama wimbo wa taifa kipindi chake.
2013 mwezi JuneAcha utan bas au umezqliwa 2010