Noma sana,......... ni kama vile alijikoboa, tena kwa nguvu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sana,......... ni kama vile alijikoboa, tena kwa nguvu sana.
Hawa manabii wanaambukaga sanaWameshindwa kumponya alipouguwa ndio sembuse mfu?
Ni Yesu pekee ndio maandiko yanamtambuwa alifufuwa wafu.
Pigo kwa mume
Ilikuwaje mkuu, hebu tupe dataHuyu mama sina haja naye. Alitaka kunitapeli mchana kweupe
Nabii msukuma!!! Na kwa kujua kuwa mwanamke mweupe huko usukumani ana thamani zaidi ya almasi, yeye weupe akauzidisha!!! Any way nadhani siku ya tatu atafufuka toka wafu ili maandiko yatimie.
Alikuwa nabii wa mwanzo mwanzo sana ni vile alisahaulikaga tu...lkn alikuwa maarufu na alikuwa mrembo sana... Yani manabii na watumie wamekuwa wengi Hadi naogopa...kazi ya bwana imegeuzwa ni biasharaNabii flora????? Hivi vyeo wanapewa na nani?
Au hata mimi nikianza kujiita nabii basi ndio nakuwa nabii
Pole kwa msibaPumzika kwa amani mpenzi wangu wa zamani Fabiola japokuwa wengi wanakuita Flora
Hivyo unaamua mwenyewe tu, ukiulizwa unasema ulitokewa na Mungu usiku na akakupatia hiyo title.Nabii flora????? Hivi vyeo wanapewa na nani?
Au hata mimi nikianza kujiita nabii basi ndio nakuwa nabii
Mikataba yao ikifika mwisho duniani wanaenda kutumika upande wa pili hadi mda sahihi aliopangiwa na Mola ukifikaHuu ndiyo muda sahihi kwa kiboko ya wachawi Dominic kwenda kumfufua na achukue pointi 3 muhimu.