TANZIA: Producer Joshua Magawa "Pancho Latino" wa B hitz records afariki dunia

TANZIA: Producer Joshua Magawa "Pancho Latino" wa B hitz records afariki dunia

View attachment 892221
Pancho Latino maarufu 'Mafia' amefariki dunia kwenye ajali ya kuzama kwenye maji wakati anaogelea kwenye kisiwa cha Mbudya, jijini Dar es Salaam

Pancho alikuwa mtayarishaji wa muziki katika studio za B’ Hitz Record.

Kul nafs dhaarika tul mauti. Nyuma yako mbele yetu.

Upumzike salama .

Mkuu hiyo ni aya katika Quran, irekebishe ni Dhaaikatul.

Poleni sana kwa walioguswa na hiki kifo
 
Kinachowaua waogeleaji wazuri kwenye maji....ni njaa kama wamekwama mbali na makazi!!!...

Mawimbi makubwa yanayochosha mwili.....

Na kushikwa na misuli Yaani ndio baharia anakufa huku anajiona!!!....usiombe ushikwe na msuli ndani ya maji....unaweza kufa hata kwenye kina kifupi cha maji!!.,,,,

Na hili tatizo huwapata waogeleaji wanaokaa muda mrefu mbali na maji!!!...
Mkuu haswa katika hilo swala la kubanwa kwa misuli.
Misuli inapokubna hta kma umeshikilia kitu kwenye maji unaweza ukakiachia kwa maumivu utakayoyaskia.
 
Just In: Taarifa zilizotufikia hivi punde, Producer maarufu wa B’ Hitz Record Pancho Latino maarufu kama mafia, amefariki kwa ajali ya kuzama na maji kisiwa cha Mbudya. Taarifa zaidi zitafuata.


Kuzama na maji kwenye nini?
Kisiwa cha Mbudya kipo wapi?
 
Dah pancho latino R.I.P ninja
.
Hawa jamaa sijui wapo kwenye hali gani
1. Shetta
2.hammy B-mmiliki wa studio
3.Ambwene yesaya
4. Mwana FA
5.nimekasahu Jina kadogo kamoja hivi kame graduate tumaini
Pancho pancho pancho mungu akufanyie wepesi aisse
umemsahau dully sky's yeye ndiye alivumbua kipaji cha pancho Awali pancho alikuwa anafanya kazi dhahabu rec. kabla hajasainiwa na hamie B pale B hit's
 
Nimekulia Mikocheni B, mita kadhaa kwenda baharini na nilikua naenda sana kwa mzungu mmoja wakuitwa Grabu ( mtoto wa Jane Goodhal) jamaa mvuvi ana boti za uvuvi , alikua anatufundisha kuogelea ,maji ya bahari si mchezo ,MTU haokolewi kirahisi rahisi km afuati maelekezo ya anaye kuja kumuokoa
Nifundishe kuogelea basi niwe naogelea hata Coco bichi
 
Kuna tofauti ya kujua kuogelea na nguvu za mtu.
.

Unaweza kuwa na skills, lakini ukakosa nguvu ya kustahimili muda mrefu kwenye maji au kuogelea umbali mrefu.

Pia, kama bahari ikiwa si shwali, utafurahi tu
then unaweza ukawa unajua kuogelea lakini ukawa huna pumzi za kutosha".. pumzi nikiungo muhimu mnoo kwenye uogeleaji
 
Back
Top Bottom