TANZIA: Producer Joshua Magawa "Pancho Latino" wa B hitz records afariki dunia


Mkuu hiyo ni aya katika Quran, irekebishe ni Dhaaikatul.

Poleni sana kwa walioguswa na hiki kifo
 
Mkuu haswa katika hilo swala la kubanwa kwa misuli.
Misuli inapokubna hta kma umeshikilia kitu kwenye maji unaweza ukakiachia kwa maumivu utakayoyaskia.
 
Just In: Taarifa zilizotufikia hivi punde, Producer maarufu wa B’ Hitz Record Pancho Latino maarufu kama mafia, amefariki kwa ajali ya kuzama na maji kisiwa cha Mbudya. Taarifa zaidi zitafuata.


Kuzama na maji kwenye nini?
Kisiwa cha Mbudya kipo wapi?
 
Dah pancho latino R.I.P ninja
.
Hawa jamaa sijui wapo kwenye hali gani
1. Shetta
2.hammy B-mmiliki wa studio
3.Ambwene yesaya
4. Mwana FA
5.nimekasahu Jina kadogo kamoja hivi kame graduate tumaini
Pancho pancho pancho mungu akufanyie wepesi aisse
umemsahau dully sky's yeye ndiye alivumbua kipaji cha pancho Awali pancho alikuwa anafanya kazi dhahabu rec. kabla hajasainiwa na hamie B pale B hit's
 
Nifundishe kuogelea basi niwe naogelea hata Coco bichi
 
Kuna tofauti ya kujua kuogelea na nguvu za mtu.
.

Unaweza kuwa na skills, lakini ukakosa nguvu ya kustahimili muda mrefu kwenye maji au kuogelea umbali mrefu.

Pia, kama bahari ikiwa si shwali, utafurahi tu
then unaweza ukawa unajua kuogelea lakini ukawa huna pumzi za kutosha".. pumzi nikiungo muhimu mnoo kwenye uogeleaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…