TANZIA: Producer Joshua Magawa "Pancho Latino" wa B hitz records afariki dunia

TANZIA: Producer Joshua Magawa "Pancho Latino" wa B hitz records afariki dunia

Apumzike Kwa Amani aendapo.

Jina lake halisi anaitwa nani, au ndio hilo hilo?
 
Ni kisiwa ambacho kina mkondo mkubwa wa maji kasi,lakini sehemu inayoanzia mkondo huo kuna bango kubwa limewekwa kuwataadhalisha waogeleaji wasikaribie eneo hilo kuna maeneo salama yaliyoelekezwa kwa waogeleaji,tatizo waendajii wengi wa kule wakifika kwa good time hawana muda wa kusoma mabango na kufuata sheria bila shuruti kama kawaida yetu wa Tezee.
Kingine nadhani wanakuwa washakunywa mipombe
 
Back
Top Bottom