Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

Kuna jambo nimefanyiwa limeniuma sana.nijuzeni bei ya bastola,iwe mpya au used.MUHIMU SANA HII

Pole Sana, nakushauri pata mafunzo kwanza ya mambo yanayokupasa kuzingatia kabla ya kumiliki silaha yoyote na upate mafunzo yanayostahili kwani nilivyokusoma ukipewa huyo bastola sasa utatoa roho ya mtu hata na ya kwako pia...haifai mkuu kwani tukienda kwa mtindo huo atapona mtu.....Nakuombea Sana Mungu akusaidie ili ufanye maamuzi mazuri...
 
Kila la heri katika jitihada zako za kulijinda wewe na familia yako pia na mali zako. Ombi moja tu ukiipata basi uwe makini sana mahali unapoiweka ili isije ikasababisha madhara makubwa ndani ya familia yako.

Pia kuna haja kweli ya kuwa na mabastola ya kujilinda kweli?! Maana hawa wajinga wakiamua kukufanyizia hata uwe na 2 au 3 watakupata tu..
Solution ni ulinzi jamii, sungu sungu au majirani kujipanga tu, na wewe mtaani kuheshimu na kuwa na ushirikiano na majirani, basi....
Serikali inaendelea na kutoa usalama mzuri tu, tena mkiwashirikisha mbona mtaani mtakuwa salama sana tu..
 
Wanajamvi hususani wenye ufahamu wa mambo ya silaha, ningependa kujua ni aina
gani ya silaha ambazo tunaruhusiwa kumiliki kihalali sisi Watanzania?

Napenda sana ile silaha ambayo unaweza kumlenga mtu aliye mbali SNIPER RIFLE sina uhakika
kama ndivyo inavyoitwa lakini naiona ni mzuri sana kwa ulinzi,

Mwisho naomba kujua bei za hizo silaha na gharama zake katika usajili.
 
Bisi bisi
Viwembe
Kisu
Panga
Jambia
Mshale na upinde, tena wenye sumu
Mkuki
Manati
Kombeo
Mtarimbo
Nondo
Tindikali(mmh, labda dil Haidrokloc acid, conc hairuhusiwi, wala Sulphuric acis hairuhusiwi)
Rungu

Bunduki sasa, tunaruhuriwa gobole, na yale ya polisi, AK47 no
Bastola iwe bomba moja, bomba mbili hapana.

Mie namiliki zote hizo, isipokuwa mabunduki na bastola.
 
Bisi bisi
Viwembe
Kisu
Panga
Jambia
Mshale na upinde, tena wenye sumu
Mkuki
Manati
Kombeo
Mtarimbo
Nondo
Tindikali(mmh, labda dil Haidrokloc acid, conc hairuhusiwi, wala Sulphuric acis hairuhusiwi)
Rungu

Bunduki sasa, tunaruhuriwa gobole, na yale ya polisi, AK47 no
Bastola iwe bomba moja, bomba mbili hapana.

Mie namiliki zote hizo, isipokuwa mabunduki na bastola.

Haaaa
Haaaaaa
Haaaaaaaaaa.....
 
Bastola iwe bomba moja, bomba mbili hapana.

Mie namiliki zote hizo, isipokuwa mabunduki na bastola.
Ahsante mkuu Kongosho ingawa ningependa kufahamu vizuri hii bastola ya bomba 2
ina sifa zipi za ziada kiasi cha kutoruhusiwa?
 
Angalizo: SNIPER sio silaha ni mtu mwenye shabaha hata akiwa umbali mkubwa, kimsingi swali lako nadhani lime-base kwenye silaha za moto sio baridi kama viwembe na baadhi ya alizotaja mchangiaji wa kwanza,

mi nakushauri nenda maduka ya silaha kama Tanganyika arms, silaha zote za moto utazozukuta pale maana yake raia anaruhusiwa kumiliki!!
Na utaziona bei zake!!

Pia wanaweza kukupa utaratibu wa kufuata ili uweze kumiliki silha ambapo lazima upitie ngazi mbalimbali za uongozi wakuudhinishe
 
Kwanini usumbuane na mtu, usumbuke kubeba uzito mwingine.
Tafuta hela.
HELA NDIO SILAHA TOSHA
 
zindiko ni kiboko, huku kuna mganga anachanja chale na kuzingika kay, siunasikia watu wanachezwa na machale!
 
Wanajamvi hususani wenye ufahamu wa mambo ya silaha, ningependa kujua ni aina
gani ya silaha ambazo tunaruhusiwa kumiliki kihalali sisi Watanzania?

Napenda sana ile silaha ambayo unaweza kumlenga mtu aliye mbali SNIPER RIFLE sina uhakika
kama ndivyo inavyoitwa lakini naiona ni mzuri sana kwa ulinzi,

Mwisho naomba kujua bei za hizo silaha na gharama zake katika usajili.
Ucha.wi Unaruhusiwa hata Mkulu wetu alikuwa na Silaha yake ya Kich.wi from Shehe Yahya ila ndio hivyo alindei kwasasa sijui anatumia silaha from wapi...

Nenda kwa Mganga wa kienyeji yeyote utapewa gharama zake... ila kuwa makini kwa wale wanaotaka viungo vya Watu weupe wenye asili ya Ueusi...
 
Angalizo: SNIPER sio silaha ni mtu mwenye shabaha hata akiwa umbali mkubwa, kimsingi swali lako nadhani lime-base kwenye silaha za moto sio baridi kama viwembe na baadhi ya alizotaja mchangiaji wa kwanza,

mi nakushauri nenda maduka ya silaha kama Tanganyika arms, silaha zote za moto utazozukuta pale maana yake raia anaruhusiwa kumiliki!!
Na utaziona bei zake!!

Pia wanaweza kukupa utaratibu wa kufuata ili uweze kumiliki silha ambapo lazima upitie ngazi mbalimbali za uongozi wakuudhinishe

tanganyika arms kumbe ni duka la silaha.! Umenifumbua nilikuwa sijui, hapa mwanza duka lao lipo chocho moja, huluhusiwi kuingia bila ruhusa, mlangoni kuna ulinzi mkali mimi nîlikuwa nazani ni office za madini.
 
Back
Top Bottom