miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
unaishi kwenye nyumba ipi? kama ya tope sawa ila kama ya vioo iyo silaha haifai.
Ya viooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unaishi kwenye nyumba ipi? kama ya tope sawa ila kama ya vioo iyo silaha haifai.
Mm nina miliki pepper spray na taser nilinunua pale Tanganyika arms unapewa risiti ambayo inakuwa kama kibali kwako.
Niliuliza hili swali nikajibiwa kama ifuatavyo na IDIMIMkuu hebu itolee maelezo kidogo!
ahaaa!!! kama nimeikumbuka vile!Niliuliza hili swali nikajibiwa kama ifuatavyo na IDIMI
Ni pilipili iliyo katika hali ya kimiminika ambayo imefungashwa kwenye kopo kama la dawa ya mbu. Mtu akikuletea za kuleta unampulizia usoni kama unavyopuliza dawa ya mbu.
Mmoja tu shem? halafu bila upinde? halafu hujawahi kuutumia wal nini!Mie namiliki mshale nakumbuka niliununua elfu 6
mkuu na biashara ya ulinzi, wenyewe wanaruhusiwaje kumiliki silaha?Angalizo: SNIPER sio silaha ni mtu mwenye shabaha hata akiwa umbali mkubwa, kimsingi swali lako nadhani lime-base kwenye silaha za moto sio baridi kama viwembe na baadhi ya alizotaja mchangiaji wa kwanza,
mi nakushauri nenda maduka ya silaha kama Tanganyika arms, silaha zote za moto utazozukuta pale maana yake raia anaruhusiwa kumiliki!!
Na utaziona bei zake!!
Pia wanaweza kukupa utaratibu wa kufuata ili uweze kumiliki silha ambapo lazima upitie ngazi mbalimbali za uongozi wakuudhinishe
aisee!.. mkuu vipi kuhusu na kampuni za ulinzi?Mmmmhhh watu wamekupotosha mno aisee:
Nenda pale Wizara ya Mambo ya ndani kuna kitengo kinaitwa AMARD ulizia mtu anaitwa National Focal Point on Small Arms, ni kitengo kinachoshughulikia maswala yote ya silaha ndogondogo. Eg Small Arms Marking, Small Arms Destruction, Arms Licence etc kwa maelezo zaidi gonga hapa About Us - The Regional Centre on Small Arms in the Great Lakes Region, the Horn of Africa and Bordering States (RECSA) GAZETI kwa maelezo zaidi ni PM
Niliuliza hili swali nikajibiwa kama ifuatavyo na IDIMI
Ni pilipili iliyo katika hali ya kimiminika ambayo imefungashwa kwenye kopo kama la dawa ya mbu. Mtu akikuletea za kuleta unampulizia usoni kama unavyopuliza dawa ya mbu.
Mmoja tu shem? halafu bila upinde? halafu hujawahi kuutumia wal nini!
Hahahaaa!
aisee!.. mkuu vipi kuhusu na kampuni za ulinzi?
wenyewe umiliki wake wa silaha ukoje na bei zikoje?
Kila kitu na maelezo yote vinapatikana hapo ndo maana wameweka kitengo maalumu cha silaha ndogondogo na center yao iko Nairobi kwa nchi 15 na nimekupa website wacha uvivu wa kusoma
teh teh! hiyo shabaha umei-test vp wakati una mshale mmoja? heheheee!Upinde nilipewa na babu yangu.Natumia sana yani nina shabaha balaaa
Haha ha ha ha ha sio kamba hizi mkuu?Hio kitu noma sana. Kuna kipindi Dully Sykes alipuliza na kuchafua hali ya hewa ukumbini pale hotel Travertine Magomeni na kusababisha taharuki kubwa. Alilala lupango.
Nashukuru DENA huu ni msaada tosha kabisa.Mmmmhhh watu wamekupotosha mno aisee:
Nenda pale Wizara ya Mambo ya ndani kuna kitengo kinaitwa AMARD ulizia mtu anaitwa National Focal Point on Small Arms, ni kitengo kinachoshughulikia maswala yote ya silaha ndogondogo. Eg Small Arms Marking, Small Arms Destruction, Arms Licence etc kwa maelezo zaidi gonga hapa About Us - The Regional Centre on Small Arms in the Great Lakes Region, the Horn of Africa and Bordering States (RECSA) GAZETI kwa maelezo zaidi ni PM
ahaaa!!! kama nimeikumbuka vile!
iko kwenye kikopo cheusi hivi kidogo dogo, kinawasha sana aisee!
sikujua kama hilo ndio jina lake!
Wazazi wanakosea sana matunzo ya vitu hatari kama hivi, kuna siku kaka mkubwa alikaacha chumbani hapo akaenda kunawa uso nje, mtoto mdogo hivi akaingia ndani akaanza kukashangaa kale kachupa!
masikini mtoto, akakashika akajipulizia akidhani perfume!
Duh! baada ya hapo.. kilio chake sikupata ona! kwanza mwathirika hakuwa yeye tu, mpaka waliokuwa karibu na chumba waliathrika!
Nadhani ndo hiyo mkuu!
Haha ha ha ha ha sio kamba hizi mkuu?