Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania


ha ha ha
 

1. Nimekushauri fuatilia utajua zaid, kwanza huyo RPC hata hutomuona kwa hili wapo watu assigned for this duty!!! Wanatosheleza sana tu, kama mwalimu can handle a class of 50 students at a Uni level hawa watashindwa nini????!!!! Nilikuuliza RPC ni ofisi au mtu??!! Jukumu la RPC kwenye kamati ya ulinzi na usalama mkoani unaijua????!!! Can you connect the process na hiyo role huko???!!!

2. Umeongelea detectives; halafu unahoji umuhimu wa wakuu wa mitaa na kata na kwa taarifa yako wanaita wajumbe na lazima kuwe na muhtasari na sahihi za wajumbe waliohudhuria???!! Umewahi kuiona fomu ya maombi??!! Unajua inataka mpaka Box # na mtaa na nyumba namba???!!! Unajua ukihama unatakiwa kutoa taarifa ya anuani mpya????!!! Bila ya hizi tarifa huyo detective ataota au ni malaika????!!!!

Nakushauri badala ya kubisha kwa nadharia tafuta muda nenda kituo cha polisi mkoa nenda ofisi husika omba maelezo na fomu utajua zaidi halafu urudi hapa mkuu!!!!!
 
kwangu rungu tuu inakupiga mpaka ucheue baaaaaah
 
Nakushauri ununue silaha kali kuliko yote ni Biblia.Hapo hakuna wakukudhuru
 
Jamani kwa mnaojua hii kitu hebu nipeni ufahamu, hivi sheria ya kumiliki silaha ya moto inaruhusu pia hata kwa wanawake kumiliki?

maana jana kuna mwanamke mmoja nimemuona na bastola wakat sio askari polisi, polisi jamii, askar magereza wala JWTZ na hata kwenye ulinzi shirikishi hayumo
 
Ni mwanamke wa nchi gani huyo ? Kwa Tanzania ni ruksa kwa mtu mzima yeyote mwenye akili timamu na tabia njema katika jamii, tena sasa hivi katiba pendekezwa imeongeza wigo kwa maana kwamba katika eneo husika kama wanaume 5 mnamiliki hiyo kitu ni lazima na wanawake 5 nao wamiliki.
 
Refer yule mama wa bagamoyo aliyeua jambazi kwa kutumia bunduki anayoimiliki kisheria

 

Ni Mtz huyo na kwa kweli nilikuwa cjui kama sheria inaruhusu nikajua tunakaribia kupigishwa magoti
 
Ni Mtz huyo na kwa kweli nilikuwa cjui kama sheria inaruhusu nikajua tunakaribia kupigishwa magoti

Inaruhusu Mkuu na wengi wanazo ila kwa kuwa wanawake huwa hawapendi kujionyesha kama wanaume na hawavai mikanda ya kuzipachika kama Mhe. Rage, ndio maana huzini kwa wingi, kumbuka yule wa Bagamoyo aliyemtwanga jambazi nje ya nyumba wakatik walipovamiwa. Aidha ifahamike kuwa wanawake wanaopewa ni wale wenye staha na heshima katika jamii sio vicheche kama ilivyo kwa wanaume.
 
Mkuu wewe upo Tanzania kweli? Au unaishi moja ya nchi zifuatazo Afghanstan, Somalia, Saudi Arabia, nk
 
"Hamsini kwa hamsini", sijui upande wa sheria lakini kwa nini asiwe na haki ya kuimiliki?
 
Kiudhati haswa hawa binadamu hawakustahili !
Piga picha mkeo anamiliki cha-moto then una mpango wa kuoa mke wa pili , siku chache kabla hujaoa unaona mara kaitoa anaifanyia usafi ! Utaoa ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…