Ukiona urasimu bongo mkubwa kama ilivyo jadi,sema nikupe bastola ya kijadi.Haina usajili,leseni haina wala hakuna atakayejua kama unayo.Bastola hiyo ni kwa ajili ya kuzuia wezi tu si kuua wala kwenda kuibia.
Ni kimti fulani unaweka home kwako basi,wezi wakija nyumba hawaioni basi,kama una mshiko mkubwa,basi unanusa kijiti chako,vibaka/wezi hawakuoni.Hizo za kisasa balaa.
We unajua ofisi ya RPC ina watu wangapi ambao wanaweza ku sign off kibali cha kitu kwa niaba ya RPC??? Wanatosheleza kuprocess maombi yote nchi nzima au ndo kuunda urasimu tu ili kutengeneza mazingira ya rushwa? RPC and his signers hawana ulazima wa kuwa kwenye huu mchakato, kufuatilia ombi la kuwa na silaha nchi za watu hii ni kazi ya mid level detective mmoja tu per application.
Eti maombi yapitie kwa mwenyekiti wa kijiji sijui wa kata, mimi natokea Manzese Darajani, Mwenyekiti wa mtaa hapa hajui background ya binadamu yeyote hapa maeneo jinsi palivyo na nyomi la kila aina, Mwenyekiti wa Mtaa au Kamanda Kova apitie maombi ya silaha atasaidia nini? Kazi ya detectives hii.
Jamani kwa mnaojua hii kitu hebu nipeni ufahamu, hivi sheria ya kumiliki silaha ya moto inaruhusu pia hata kwa wanawake kumiliki?
maana jana kuna mwanamke mmoja nimemuona na bastola wakat sio askari polisi, polisi jamii, askar magereza wala jwtz na hata kwny ulinzi shirikishi hayumo
Ni mwanamke wa nchi gani huyo ? Kwa Tanzania ni ruksa kwa mtu mzima yeyote mwenye akili timamu na tabia njema katika jamii, tena sasa hivi katiba pendekezwa imeongeza wigo kwa maana kwamba katika eneo husika kama wanaume 5 mnamiliki hiyo kitu ni lazima na wanawake 5 nao wamiliki.
Ni Mtz huyo na kwa kweli nilikuwa cjui kama sheria inaruhusu nikajua tunakaribia kupigishwa magoti
tunaruhusiwa na mimi natafuta yangu soon
siku akichelewa kurudi unampa za makalio tu.
Mkuu wewe upo Tanzania kweli? Au unaishi moja ya nchi zifuatazo Afghanstan, Somalia, Saudi Arabia, nk
tunaruhusiwa na mimi natafuta yangu soon