Jamani kwa mnaojua hii kitu hebu nipeni ufahamu, hivi sheria ya kumiliki silaha ya moto inaruhusu pia hata kwa wanawake kumiliki?
maana jana kuna mwanamke mmoja nimemuona na bastola wakat sio askari polisi, polisi jamii, askar magereza wala JWTZ na hata kwenye ulinzi shirikishi hayumo
Kiudhati haswa hawa binadamu hawakustahili !
Piga picha mkeo anamiliki cha-moto then una mpango wa kuoa mke wa pili , siku chache kabla hujaoa unaona mara kaitoa anaifanyia usafi ! Utaoa ?
Jamani kwa mnaojua hii kitu hebu nipeni ufahamu, hivi sheria ya kumiliki silaha ya moto inaruhusu pia hata kwa wanawake kumiliki?
maana jana kuna mwanamke mmoja nimemuona na bastola wakat sio askari polisi, polisi jamii, askar magereza wala JWTZ na hata kwenye ulinzi shirikishi hayumo
Kiudhati haswa hawa binadamu hawakustahili !
Piga picha mkeo anamiliki cha-moto then una mpango wa kuoa mke wa pili , siku chache kabla hujaoa unaona mara kaitoa anaifanyia usafi ! Utaoa ?
Wewe hapana itakuwa kila unaemuhisi anakuzunguka mbuyu ni lazima uitumie kwake
Kiudhati haswa hawa binadamu hawakustahili !
Piga picha mkeo anamiliki cha-moto then una mpango wa kuoa mke wa pili , siku chache kabla hujaoa unaona mara kaitoa anaifanyia usafi ! Utaoa ?
Akizidi kunitibua namtungua kichwa
tunaruhusiwa na mimi natafuta yangu soon
Haaaaa ww hatuwez kukupa ww kabira lako hilo huwa hatuwapi?
Kwa nini?
Kwann udhani niko moja ya nchi hizo mkuu
Na wakati anaifanyia usafi anaimba wimbo wa Dr Remmy(RIP),'Kifooo kifoo kifo hakina uruma'.
Jamani kwa mnaojua hii kitu hebu nipeni ufahamu, hivi sheria ya kumiliki silaha ya moto inaruhusu pia hata kwa wanawake kumiliki?
maana jana kuna mwanamke mmoja nimemuona na bastola wakat sio askari polisi, polisi jamii, askar magereza wala JWTZ na hata kwenye ulinzi shirikishi hayumo
tunaruhusiwa na mimi natafuta yangu soon
Ungiwiye kokoya ofanikiyo.
Akizidi kunitibua namtungua kichwa