Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

Ndevu mbili bila shaka ulisema uko Canada. Vipi ni rahisi kununua Pistol(especially Glock) na kusafiri nayo kwenda bongo? Hapa USA nimejaribu ili ninunue lakini naona magumashi tuu. Kama ni rahisi basi ni PM ili tuwasiliane maana na mm nahitaji hiyo kitu.
Unahitaji aina gani?
Uipeleke wapi?
Vibali halali unavyo?
Uitumie kwa shughuli gani?
Wajishughulisha na nini?
 
Ndevu mbili, huwezi kupata vibali vya kumiliki silaha bila kuwa na silaha yenyewe. Nilidhani unaweza nunua ukaifikisha Dar alafu nikatafuta vibali ikiwa imehifadhiwa polisi. Mimi kama nilivyosema niko USA na hiyo silaha ni self defence si unajua bongo tena.

Mimi kupata vibali siyo issue, kinachonisumbua ni ununuaji wa hiyo silaha nikiwa huku Marekani. Mimi napendela sana Glock 19 kama nitapata hiyo nitafurahi sana. Bongo niliwahi kuiona Glock 17 lakini wakawa wanauza triple price wakati huku ni dola 350+ kwa used.
 
Ndevu mbili, huwezi kupata vibali vya kumiliki silaha bila kuwa na silaha yenyewe. Nilidhani unaweza nunua ukaifikisha Dar alafu nikatafuta vibali ikiwa imehifadhiwa polisi. Mimi kama nilivyosema niko USA na hiyo silaha ni self defence si unajua bongo tena. Mimi kupata vibali siyo issue, kinachonisumbua ni ununuaji wa hiyo silaha nikiwa huku Marekani. Mimi napendela sana Glock 19 kama nitapata hiyo nitafurahi sana. Bongo niliwahi kuiona Glock 17 lakini wakawa wanauza triple price wakati huku ni dola 350+ kwa used.
Bila vibali kwenye ndege ntasemaji scanning ikionekana?
Nikipewa vbali naweza luileta tz ntaikabidhi. Ila kabla ya vibali n
Amuagizia detail ya hiyo silaha yake. Halafu mwenye hii thread hajaweka wazi aina gani ya silaha na kwa mahitaji gani?
Kuna limit kwa raia aina ya silaha kuwanazo.
 
Ndevu mbili, huwezi kupata vibali vya kumiliki silaha bila kuwa na silaha yenyewe. Nilidhani unaweza nunua ukaifikisha Dar alafu nikatafuta vibali ikiwa imehifadhiwa polisi. Mimi kama nilivyosema niko USA na hiyo silaha ni self defence si unajua bongo tena. Mimi kupata vibali siyo issue, kinachonisumbua ni ununuaji wa hiyo silaha nikiwa huku Marekani. Mimi napendela sana Glock 19 kama nitapata hiyo nitafurahi sana. Bongo niliwahi kuiona Glock 17 lakini wakawa wanauza triple price wakati huku ni dola 350+ kwa used.

Tanganyika arms wanauza Glocks za aina mbalimbali e.g Glock 17, Glock 19 na kadhalika.
Hawa jamaa kuna wakati wanakuwa nazo, ni kuwaulizia kama wanazo kwenye stock.
Tatizo ni bei iko juu, kuna jamaa namfahamu alinunua July 2010 kwa 1,700,000/= TZS kwa Glock 19 (Brand New).

Uzuri wa kununua bongo ni kuwa inarahisisha ununuaji wa silaha kuliko mizengwe iliyopo ukitaka kununua nje ya bongo pamoja na kwamba utaipata kwa bei ya chini.

Kumbuka kuwa unapofanya maombi ya kumiliki silaha unatakiwa uwe umeshainunua kwanza, ili unapojaza form za maombi uweze kujaza jina la silaha, model yake, namba zake na kadhalika.

Ukiwa na mkono mrefu maombi ya kumiliki yanaweza kukuchukua wiki 4 tu ukakabidhiwa. Kwa wale wenye mikono mifupi itakuchukua chini kabisa miezi 6 !!!!. Akili kwako mkuu.
 
Bila vibali kwenye ndege ntasemaji scanning ikionekana?
Nikipewa vbali naweza luileta tz ntaikabidhi. Ila kabla ya vibali n
Amuagizia detail ya hiyo silaha yake. Halafu mwenye hii thread hajaweka wazi aina gani ya silaha na kwa mahitaji gani?
Kuna limit kwa raia aina ya silaha kuwanazo.

Ukinunua silaha nje ya Bongo hautaruhusiwa wewe kuambatana nayo kwenye ndege ikiwa kwenye e.g briefcase yako, hiyo ni kamwe maana unaweza kuwageuzia kibao na hiyo silaha yako.
Dukani ulipoinunulia wao ndo wataisafirisha kwenda bongo au wewe mwenyewe itabidi uisafirishe kama mzigo pekee kwenye ndege na itabidi ulipe gharama za usafiri. Bongo itafikia mikononi mwa polisi mpaka utakapo kamilisha maombi ya kuimiliki.

Ununuaji wa silaha nje ya bongo unaweza ukawa ni mugumu sana inategemeana na nchi na nchi. Nchi zingine watakuambia nunua hiyo silaha kupitia kwa maajenti wa silaha wa bongo. Hapo ndo ajenti kama Tanganyika arms anaposaidia especially kama unataka kununua Glock. Mzinga hawana Glocks.

Usisahau mkuu responsibility ya kumiliki silaha is a very serious issue kupita hata uwajibikaji wa kuangalia familia yako. Nafikiri unanipata.
Vinginevyo inaweza kukupeleka jela kiurahisi sana.
 
Tanganyika arms wanauza Glocks za aina mbalimbali e.g Glock 17, Glock 19 na kadhalika.
Hawa jamaa kuna wakati wanakuwa nazo, ni kuwaulizia kama wanazo kwenye stock.
Tatizo ni bei iko juu, kuna jamaa namfahamu alinunua July 2010 kwa 1,700,000/= TZS kwa Glock 19 (Brand New).

Uzuri wa kununua bongo ni kuwa inarahisisha ununuaji wa silaha kuliko mizengwe iliyopo ukitaka kununua nje ya bongo pamoja na kwamba utaipata kwa bei ya chini.

Kumbuka kuwa unapofanya maombi ya kumiliki silaha unatakiwa uwe umeshainunua kwanza, ili unapojaza form za maombi uweze kujaza jina la silaha, model yake, namba zake na kadhalika.

Ukiwa na mkono mrefu maombi ya kumiliki yanaweza kukuchukua wiki 4 tu ukakabidhiwa. Kwa wale wenye mikono mifupi itakuchukua chini kabisa miezi 6 !!!!. Akili kwako mkuu.

Hapo red, ni ufisadi aka rushwa?
 
Ukinunua silaha nje ya Bongo hautaruhusiwa wewe kuambatana nayo kwenye ndege ikiwa kwenye e.g briefcase yako, hiyo ni kamwe maana unaweza kuwageuzia kibao na hiyo silaha yako.
Dukani ulipoinunulia wao ndo wataisafirisha kwenda bongo au wewe mwenyewe itabidi uisafirishe kama mzigo pekee kwenye ndege na itabidi ulipe gharama za usafiri. Bongo itafikia mikononi mwa polisi mpaka utakapo kamilisha maombi ya kuimiliki.

Ununuaji wa silaha nje ya bongo unaweza ukawa ni mugumu sana inategemeana na nchi na nchi. Nchi zingine watakuambia nunua hiyo silaha kupitia kwa maajenti wa silaha wa bongo. Hapo ndo ajenti kama Tanganyika arms anaposaidia especially kama unataka kununua Glock. Mzinga hawana Glocks.

Usisahau mkuu responsibility ya kumiliki silaha is a very serious issue kupita hata uwajibikaji wa kuangalia familia yako. Nafikiri unanipata.
Vinginevyo inaweza kukupeleka jela kiurahisi sana.
Nashukuru kwa kutuhabarisha hilo member na members.
Hebu angalieni humu: www.ableammo.com
 
Habari wana JF..

Mi ni mzalendo wa Tanzania.. Ni taratibu gani natakiwa nifuate ili niweze kumiliki bastola?? Ni kwa self-defence.. Hasa ktk shughuli ninayotaka kuanza ya kupeleleza habari za huyu fisadi kaburu, nihakikishe mwaka 2015 harud mjengon, na nch ye2 anaikimbia..
Hilo nalo litakua ni tatizo kupewa hati za kumiliki hiyo silaha. Kama umeajiria na chombo husika basi hilo litakua ni jukumu lao kuhakikisha unapewa hiyo silaha.
Pia una jazba member kwenye huu umiliki wa silaha waeza kubadili nia yako na kuanza kujiingiza kwenye nia mbaya. Angalia usipotelee gerezani mpendwa!
 
Habari wana JF..

Mi ni mzalendo wa Tanzania.. Ni taratibu gani natakiwa nifuate ili niweze kumiliki bastola?? Ni kwa self-defence.. Hasa ktk shughuli ninayotaka kuanza ya kupeleleza habari za huyu fisadi kaburu, nihakikishe mwaka 2015 harud mjengon, na nch ye2 anaikimbia..

Kwa kazi hiyo unahitaji kalamu tu na kujiamini hizo ndizo silaha makini.
hiyo unayoulizia hapo juu (bastola) sio silaha, ni hatari!
 
Mbumbumbu
Taratibu za kumiliki silaha ndogo ni ndefu ili kudhibiti ugawaji holela wa zana hiyo nyeti,japo mlolongo huo uantoa mianya mingi ya rushwa na kama ulivyojibiwa na wachangiaji wengine uamuzi ni wako wa njia ipi uifuate.

Kama unakusudia kumiliki chombo hicho ningekushauri uvisit maduka ya silaha kupata ushauri na uchaguzi sahihi.maduka yapo mawili tu moja la Mzinga coorperation likimilikiwa na JWTZ ambao wapo pale makao makuu ya jeshi upanga na head office yao ipo Kikosi cha mzinga Morogoro.

Duka la pili ni kampuni binafsi ya Tanganyika Arms iliyopo jirani na Clock tower Dar na pia tawi mjini Moshi ukiridhika na unachohitaji utakilipia na kupewa risiti na application form ya kujaza.pia utatakiwa kununua SAFE ndogo ya kuhifadhi hiyo silaha utawakilisha form yako kwa uongozi wa mtaa unaoishi na kujaza form nyingine ambayo itasailiwa wakati wa kikao cha kujadili ombi lako ukikamilisha hatua hiyo maombi hupelekwa kwa oc-cid ambapo baada ya kuyapitia na nakala kupelekwa kwa afisa usalama wa wilaya ambako huchunguzwa records zako na hatimaye hujadiliwa katika kikao cha usalama cha wilaya na utahitajika kwa short oral interview ukikamilisha hapo maombi yako yatapelekwa mkoani na kufanyiwa taratibu kama za wilayani na iwapo utafanikiwa yatapata baraka za RPC na kuwakilishwa makao makuu ya jeshi la polisi ofisi ya DCI

DCI atapitia maombi na kama hana pingamizi ataidhinisha kibali na wewe kujulishwa(hatua hii ni kwa pistol pekee,Rifle na shotgun maombi yake huishia mkoani kwa RPC na hii ni kutokana%2
 
WanaJF tafadhalini naomba msaada kuhusu jinsi ya kumiliki silaha, mtaani kwangu kuna vijana wanaotishia maisha ya wakazi, tumeanzisha polisi jamii lakini haipo madhubuti. Hivyo nimefikia uamuzi wa kutaka kumiliki silaha ili nijilinde mwenyewe.

Naomba msaada juu ya taratibu za kumiliki silaha
 
Nakushauri umwone mwenyekiti ambaye atakuandikia barua ya utambulisho wa ukazi wako kwa Mtendaji wa Kata ambaye ataitisha kikao cha kamati ya ulinzi na usalama kukujadili (utahitajika kuwepo) kuhusu mwenendo wako dhidi ya jamii inayokuzunguka iwapo wataridhia utaandikiwa barua kwenda kwa OCD ambaye atawasilisha ajenda hiyo kwenye kikao cha kamati ya ulinzi na usalama ya wilya (chini ya DC) na kupewa kibali iwapo umekubaliwa.
 
Asante Venoo kwa msaada! Nitaufanyia kazi haraka sana
 
Nakushauri umwone mwenyekiti ambaye atakuandikia barua ya utambulisho wa ukazi wako kwa Mtendaji wa Kata ambaye ataitisha kikao cha kamati ya ulinzi na usalama kukujadili (utahitajika kuwepo) kuhusu mwenendo wako dhidi ya jamii inayokuzunguka iwapo wataridhia utaandikiwa barua kwenda kwa OCD ambaye atawasilisha ajenda hiyo kwenye kikao cha kamati ya ulinzi na usalama ya wilya (chini ya DC) na kupewa kibali iwapo umekubaliwa.

baada ya kamati ya ulinzi ya wilaya kupitisha ,maamuzi hupelekwa kamati ya ulinzi na usalama nako kukujadili,wakikukubalia then unaenda kununua silaha na kuiacha hapo uliponunua unakwenda tena polisi mkoa unawapa details na utapewa kitabu cha kumiliki silaha ambacho utakipeleka ulipo nunua silaha na kukabidhiwa. Hutopewa silaha dukani hadi hapo utakapokuwa na kitabu cha kumiliki silaha
 
Habari zenu wanaJF!

Naomba kuuliza je ni taratibu gani mtu binafsi anatakiwa kuzifuata ili kuweza kununua na kumiliki silaha kama pistol kihalali hapa Tanzania?

Bei zake zikoje? Na je kuna masharti yoyote unayotakiwa kuyatimiza?

Nataka nipate silaha kwa ajiri ya ulinzi wangu binafsi nikiwa barabarani na nyumbani.
 
Nenda ofisini ya mkuu wa polisi wilaya utapewa form ujaze,,na pia utapaswa kujadiliwa na vikao vya ulinzi na usalama kuanzia kata hadi mkoa. silaha bei ni pesa yako tu.
 
Nenda ofisini ya mkuu wa polisi wilaya utapewa form ujaze,,na pia utapaswa kujadiliwa na vikao vya ulinzi na usalama kuanzia kata hadi mkoa. silaha bei ni pesa yako tu.

Asante mkuu, umenipa hint ya muhimu sana!!

Du hivyo vikao vya ulinzi na usalama kuanzia kata hadi mkoa si ndio kushawishi rushwa huko? In average huwa inachukua muda gani toka hatua ya kwanza hadi unapopata kibali cha kwenda kununua silaha?

Nikipata kujua na range za bei kwa silaha mbali mbali nitashukuru sana wadau!!
 
yeah jamani mwageni hapa mtujuze... ninampango kabla ya mwaka kuisha huu niwe walau nina tu AK47 tuwili na vi granade nusu kiroba... nikikosa saaaaan kama bei itasumbua bac walau ROCKET RANGER itafaaaa.... naaamini bei haitakuwa ghali
 
Back
Top Bottom