Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

Dunia hii ya sasa kutaka kumiliki bunduki kwa kigezo cha kujilinda dhidi ya wezi na wanyang'anyi ni udhaifu tu,
labda kama ni kwa sababu zingine za show off na kutisha raia mtaani.

Waharifu wakiamua kufanya yao wanafanya tu hata kama unamiliki mitungi ya nyuklia au makombora ya masafa marefu.
.
.
Hizo pesa na nguvu inayotumika kufuatilia umiliki ni vema zitumike kujiongezea kipato zaidi.
Kwa point hio basi watu wasiwe wanaweka mageti/kujenga ukuta kwny nyumba zao maana wahalifu wakiamua wanaingia fasta tu.

We ongeza hicho kipato zaidi na wenzako watafute silaha za kujilinda wao,mali na familia zao.
 
Duuu kumbe hivi vidude vina gharama hivi? Kuna jamaa alinambia pistol ni kuanzia laki 5 hadi nane inapatikana kumbe haikuwa sahihi?

katika mchanganuo huo kuna silaha mbili, pistol hapo ni 2.5m, hii ni ile ghari sana, kuna zingine ziko chini ya hapo inategemea aina gani unahitaji na uwezo wake kwahiyo unamudu tu kutokana na mfuko wako.
 
Huo ndo utaratibu lakini ukiufuata utasubiri sana. Kuna watu nawafahamu wamepata silaha hata miezi 2 haifiki. Weka pesa mezani kila kitu kinapelekwa fasta na utaratibu hauvunjwi.

Kila kitu kinawezekana ila mimi pesa yangu imekataliwa. Kwa bahati nzuri DSO wa Wilaya ninayoombea silaha ni mtu wangu wa karibu na ameshindwa kunisaidia, amesema openly kuwa hana uwezo nisubiri tu kwakuwa Mkuu wa Wilaya ambaye ndiye Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ndiye pekee mwenyejukumu la kuitisha kikao cha kuhoji watu na si vinginevyo. Kwahiyo kutokana na wewe ukitaka kuhonga inabidi umuhonge Mkuu wa Wilaya na kamati yake na Mkuu wa Mkoa na Kamati yake otherwise silaha haitolewi bila kuhudhulia kwenye vikao hivi physically.
 
Kuinunua ndugu yangu ni kama vile kununua suruali dukani ila kuichukua ni nafuu kupata visa ya USA kuliko kupata kibali cha kuimiliki, cyo kwa zama hizi kama haukupata silaha kwenye utawala wa jk basi sahau kimiliki iyo kitu, kuna jamaa zangu wana kwenda mwaka wa3 hkna cha kibali wala nini, wamebakiza kuzitembelea silaha zao pale Tanganyika Arms na kuonyeshana2 kama watoto wadogo yangu hii!
Mzunguko mkubwa sana! Kurudishiwa pesa, makato mengi.
 
Inakuwaje pale mmiliki halali wa bastola anapofariki sheria inasemaje kuhusu hili???Na je kwa mfano una documents zote halali za umiliki wa silaha ya marehemu je unaweza kuiuza na kuna taratibu zipi za kufuatwa........
Msaaaada Jamaaaniiiiii
 
Habara za jumamosi wanajamvi?
Niende moja kwa moja kwenye swala langu,
Kama kichwa cha habari kilivyo napenda kujua wapi naweza kununua silaha (bastola) na kuimiliki kihalali? Je gharama zake(Minimum) ni kiasi gani?
Asanteni


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpk hapo hau qualify kupata mkuu,maana kama uvumilivu wa hizo process umekushinda hata Judgement yako kwenye matumizi ya silaha yatakua na mashaka.
ha ha ha ha ha ha ha ha ha

we jamani noma

cityzen chairman am here
 
...Risasi inapofyatuliwa kuna mawili, moja ukiusikia mlio wa bastola/bunduki jua imemkukosa hiyo! PILI kwa mlio huo huo, utalala chini mwenyewe bila kuambiwa, nilikuwa mahala zikafyatuliwa toka kwenye AK-47, ...palifuatia ukimya kuanzia Binadamu, mbwa mpaka Mbu...!
hahahahahaaaa... Ndiyo maana ukajiita 'Mbu'
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Inakuwaje pale mmiliki halali wa bastola anapofariki sheria inasemaje kuhusu hili???Na je kwa mfano una documents zote halali za umiliki wa silaha ya marehemu je unaweza kuiuza na kuna taratibu zipi za kufuatwa........
Msaaaada Jamaaaniiiiii
Licence ya silaha yatolewa kwa muhusika tu, hivyo basi silaha husika itatakiwa kurudishwa kituo cha karibu cha polisi iwapo muhusika ameezeeka, akili zake sio timamu au hayupo tena duniani.
 
Licence ya silaha yatolewa kwa muhusika tu, hivyo basi silaha husika itatakiwa kurudishwa kituo cha karibu cha polisi iwapo muhusika ameezeeka, akili zake sio timamu au hayupo tena duniani.
Nashukuru Sana Mkuu Kwa Ufafanuzi Huu, Je Hairuhusiwi Kuiuza Kwa Mtu Binafsi Kwa Kufuata Taratibu Za Kisheria Au Kama Ndio Ameshafariki Na Uhalali Wa Umiliki Wake Nao Unaishia Hapo Mkuu???
 
Nashukuru Sana Mkuu Kwa Ufafanuzi Huu, Je Hairuhusiwi Kuiuza Kwa Mtu Binafsi Kwa Kufuata Taratibu Za Kisheria Au Kama Ndio Ameshafariki Na Uhalali Wa Umiliki Wake Nao Unaishia Hapo Mkuu???
Inaruhusiwa kuiuza lakini Mauzo yatafanyika kituo cha police na silaha itaacha kituoni/office ya msajili mpaka pale mmiliki mpya atakapopewa licence yake ya kumiliki silaha tajwa.
Hivi ni kusema mnunuz mpya atafata taratibu zote za kawaida za maombi mapya ya kumiliki silaha.
 
Habarini wanajf.Poleni kwa majukumu ya kujenga familia na taifa kwa ujumla.

Niende kwenye mada:

Naomba kufahamishwa taratibu na hatua za kufuata, ili niweze kumiliki silaha ya moto hususani pistol/bastola kwa ajili ya ulinzi binafsi.

Naomba sana kwa anayefahamu aniongoze.

Natanguliza shukrani

Capture%2B_2019-12-23-18-13-23~2.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom