Number ni 26
JF-Expert Member
- Apr 3, 2019
- 1,573
- 3,088
Naimani mko poa wakuu. Jamani me nahitaji kumiliki bastola tu maana kuna people zina mazoea mabaya sana. Tunachukuliana poa poa huku mtaani, watu wakuda sana!
Hasa me nataka nimiliki gun lengo sio niue mtu no! Nikipiga hata juu kumtisha inatosha.
Ila wakuu kiukweli kuna some people wanazingua sana yan, wanamazoea mabaya sana. Yan hapa ndo naelewa kwann wazungu wanapenda kuishi kwenye maeneo tulivu yasiyo na mchanganyiko wa watu wengi.
NB: Naomba kuelekezwa tu hatua za kufuata ili niweze kumiliki CHUMA
Hasa me nataka nimiliki gun lengo sio niue mtu no! Nikipiga hata juu kumtisha inatosha.
Ila wakuu kiukweli kuna some people wanazingua sana yan, wanamazoea mabaya sana. Yan hapa ndo naelewa kwann wazungu wanapenda kuishi kwenye maeneo tulivu yasiyo na mchanganyiko wa watu wengi.
NB: Naomba kuelekezwa tu hatua za kufuata ili niweze kumiliki CHUMA