Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mikoa mabayo watu wana miaka mitano na kamati za ulinzi zimekalia fomuKwaza unaenda duka la silaha unachagua bunduki/ bastola, then unalipia unaacha hapo, unaenda kwa Mwenyekiti wako wa kijiji anakupa barua ya utambulisho, then unaenda kwa ofisi ya mkuu wa wilaya, kuomba kibali, utajadiliwa na kamati ya Ulinzi na usalama, wakiridhika wanakupa kibali, unaenda kuchukua silaha yako ulioilipia tayari.
Wakikukataa unaenda kuchukua hela yako dukani.
Nipe mawasiliano ya huyu Babu kiongoziBunduki unazunguka Sana. Nenda Mlingotini- Bagamoyo kwa Babu. Atakayeiba tu anakua mkeo unajilia unavyotaka
wewe kweli nyambuda! yaani unatumia isa kufidunda kuno viti ing'wale kukikogha!!!!Ukiona urasimu bongo mkubwa kama ilivyo jadi,sema nikupe bastola ya kijadi.Haina usajili,leseni haina wala hakuna atakayejua kama unayo.Bastola hiyo ni kwa ajili ya kuzuia wezi tu si kuua wala kwenda kuibia.
Ni kimti fulani unaweka home kwako basi,wezi wakija nyumba hawaioni basi,kama una mshiko mkubwa,basi unanusa kijiti chako,vibaka/wezi hawakuoni.Hizo za kisasa balaa.
Unataka uwe jangiri auHivi kama haya ni bei gani najitaji moja lenye darubini la kujirinda tu homeView attachment 1696903
Nchi zetu zipo nyuma sana aiseeKwaza unaenda duka la silaha unachagua bunduki/ bastola, then unalipia unaacha hapo, unaenda kwa Mwenyekiti wako wa kijiji anakupa barua ya utambulisho, then unaenda kwa ofisi ya mkuu wa wilaya, kuomba kibali, utajadiliwa na kamati ya Ulinzi na usalama, wakiridhika wanakupa kibali, unaenda kuchukua silaha yako ulioilipia tayari.
Wakikukataa unaenda kuchukua hela yako dukani.
Bongoman, huhitaji rifle ili kujilinda home, it is too mechanical. Unahitaji bastola ya glockHivi kama haya ni bei gani najitaji moja lenye darubini la kujirinda tu homeView attachment 1696903
Karate itapambana na risasi?mkuu?na smell smell mtu anataka kudito watu....kijana angaliaaaa!!!!mie ushauri wangu ingia gym kula nondo la nguvu ukitoka kachukue tizi la karate self defense tosha kabsaaaa tuone ka kuna mtu atakusumbua wala kukugusa!!
Naandika barua?Unawasilisha ombi lako kwa kamati ya Ulinzi (na usalama) ya Wilaya kipitia OCD then Kamati ya Ulinzi na Wilaya inakujadili na kukupendekeza kwa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa. Huo ndio utaratibu kwa ufupi.