Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

1. Naenda kanunue SILAHA kwanza au ujue ni Aina gani ya bunduki unavyo taka kumiliki na specification zake
2. Naenda Kituo cha Polisi kuanzia ngazi ya Wilaya sio vituo vidogo kaombe fomu ya kumiliki silaha inatolewa bure
3. Utajaza taarifa zako binafsi ikiwa pamoja na taarifa za bunduki, Aina na muundo wakepamoja na maker. Pia utaeleza matumizi ya bunduki hiyo
4. Utapeleka fomu kwa mtendaji wa kijiji, kamati itakaa kukujadili na kuandika muhtasari wa kikao pamoja nawajumbe kusaini kwenye fomu yako ya maombi
5 utapeleka fomu kwa mtendaji wa KATA, nao watafanya kama mtendaji wa kijiji
6. Utapeleka fomu kwa OCD -Mkuu wa Polisi Wilaya husika ulipo chukulia fomu nae ataiwadilisha kwa Mkuu wa Wilaya ambeye ndie mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wataijadili kwenye kikao na kutia saini kwenye fomu hiyo na kuituma kwa RPC - Kamanda wa Polisi Mkoa
7. Fomu hiyo itajadiliwa tena kwenye kamati ya ulinzi na usalama Mkoa ikiongozwa na RC baada ya hapo fomu hiyo itatumwa kwa DCI kwa hatua ya mwisho.
Sawa ahsante
 
Nadhani Kuna haja ya kuwapima watu akili kwanza. Mental stability ni muhimu Sana katika umiliki wa silaha. Pia temperament ingepimwa isije kuwa ni mtu wa temper temper atufyatue kitaa tukimtania Ana bichwa bovu.

Secondly kuna haja ya kuwachunguza kwanza Ili kubaini kama kuna malicious intent mahali. Isije kuwa anajiandaa kumpiga mtu tukio.
 
Nadhani Kuna haja ya kuwapima watu akili kwanza. Mental stability ni muhimu Sana katika umiliki wa silaha. Pia temperament ingepimwa isije kuwa ni mtu wa temper temper atufyatue kitaa tukimtania Ana bichwa bovu.

Secondly kuna haja ya kuwachunguza kwanza Ili kubaini kama kuna malicious intent mahali. Isije kuwa anajiandaa kumpiga mtu tukio.
Hahaha.. Una hoja mkuu.

Ila naihitaji kwa ajili ya ulinzi binafsi
😂😂
 
1. Naenda kanunue SILAHA kwanza au ujue ni Aina gani ya bunduki unavyo taka kumiliki na specification zake
2. Naenda Kituo cha Polisi kuanzia ngazi ya Wilaya sio vituo vidogo kaombe fomu ya kumiliki silaha inatolewa bure
3. Utajaza taarifa zako binafsi ikiwa pamoja na taarifa za bunduki, Aina na muundo wakepamoja na maker. Pia utaeleza matumizi ya bunduki hiyo
4. Utapeleka fomu kwa mtendaji wa kijiji, kamati itakaa kukujadili na kuandika muhtasari wa kikao pamoja nawajumbe kusaini kwenye fomu yako ya maombi
5 utapeleka fomu kwa mtendaji wa KATA, nao watafanya kama mtendaji wa kijiji
6. Utapeleka fomu kwa OCD -Mkuu wa Polisi Wilaya husika ulipo chukulia fomu nae ataiwadilisha kwa Mkuu wa Wilaya ambeye ndie mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wataijadili kwenye kikao na kutia saini kwenye fomu hiyo na kuituma kwa RPC - Kamanda wa Polisi Mkoa
7. Fomu hiyo itajadiliwa tena kwenye kamati ya ulinzi na usalama Mkoa ikiongozwa na RC baada ya hapo fomu hiyo itatumwa kwa DCI kwa hatua ya mwisho.
Duuh..hizi procedures zinachosha hakuna shortcuts.

#MaendeleoHayanaChama
 
Habari zenu wakuu.

Mwenye uelewa wa haya mambo ya kumiliki silaha hasa hizi ndogo kama bastola kwa ajili ya ulinzi binafsi naomba msaada wa kunijulisha taratibu zake zinavyokuwa.

Nazihitaji sana kwa sasa, nataka kufahsmu wapi pa kuanzia
Una akili timamu?
 
Habari zenu wakuu.

Mwenye uelewa wa haya mambo ya kumiliki silaha hasa hizi ndogo kama bastola kwa ajili ya ulinzi binafsi naomba msaada wa kunijulisha taratibu zake zinavyokuwa.

Nazihitaji sana kwa sasa, nataka kufahsmu wapi pa kuanzia
nenda kwanza ulipie silaha wao watakupa maelekezo nini ufanye,nenda kwa mtendaji wa kama upate mutsari wa wajumbe 10 wa kata yako,ambapo hiyo barua unaipeleka police ....mengine police watakuambia ufanye nini
 
Unawasilisha ombi lako kwa kamati ya Ulinzi (na usalama) ya Wilaya kipitia OCD then Kamati ya Ulinzi na Wilaya inakujadili na kukupendekeza kwa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa. Huo ndio utaratibu kwa ufupi.
Anaanza n kata anayoishi wajumbe watampa barua ya kuthibitisha ni mkazi wa kata yao na hata makosa yeyote
 
Hapo kwenye kupimwa akili na uelewa kwanza naunga mkono hoja,watu wachunguzwe kuanzia wanapoishi na jamii,
mamlaka zijiridhishe kwa hivyo
maana kuna watu wengine akiwa jombo kitu kidogo anataka kumwaga tackle la mtu
wakiona unafaa mkuki na podo sawa wakiona unafaa mashine yenyewe sawa
 
Duuh..hizi procedures zinachosha hakuna shortcuts.

#MaendeleoHayanaChama
NENDA KAGERA AU KIGOMA UTAPATA SILAHA BORA TENA ZA KISASA KWA BEI NAFUU KUTOKA CONGO, BURUNDI NA RWANDA.
HATA UKITAKA AK47 UTAPATA ILA KIMAAGUMASHI.
 
1. Naenda kanunue SILAHA kwanza au ujue ni Aina gani ya bunduki unavyo taka kumiliki na specification zake
2. Naenda Kituo cha Polisi kuanzia ngazi ya Wilaya sio vituo vidogo kaombe fomu ya kumiliki silaha inatolewa bure
3. Utajaza taarifa zako binafsi ikiwa pamoja na taarifa za bunduki, Aina na muundo wakepamoja na maker. Pia utaeleza matumizi ya bunduki hiyo
4. Utapeleka fomu kwa mtendaji wa kijiji, kamati itakaa kukujadili na kuandika muhtasari wa kikao pamoja nawajumbe kusaini kwenye fomu yako ya maombi
5 utapeleka fomu kwa mtendaji wa KATA, nao watafanya kama mtendaji wa kijiji
6. Utapeleka fomu kwa OCD -Mkuu wa Polisi Wilaya husika ulipo chukulia fomu nae ataiwadilisha kwa Mkuu wa Wilaya ambeye ndie mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wataijadili kwenye kikao na kutia saini kwenye fomu hiyo na kuituma kwa RPC - Kamanda wa Polisi Mkoa
7. Fomu hiyo itajadiliwa tena kwenye kamati ya ulinzi na usalama Mkoa ikiongozwa na RC baada ya hapo fomu hiyo itatumwa kwa DCI kwa hatua ya mwisho.
Kipengele cha kwanza ufafanuzi tafadhali. Kwanini uanze kununua silaha kwanza wakati huna uhakika kama maombi yako yatakubaliwa? Je, maombi yakikataliwa nini hatima ya silaha uliyoinunua?
 
Kipengele cha kwanza ufafanuzi tafadhali. Kwanini uanze kununua silaha kwanza wakati huna uhakika kama maombi yako yatakubaliwa? Je, maombi yakikataliwa nini hatima ya silaha uliyoinunua?
Haupewi, ni kuilipia tu kisha unapewa risiti.

Ikionekana hujakidhi vigezo, pesa utarudishiwa.

Ila ukiishainunua halafu ukafanya uzembe ikachukuliwa[emoji1787]mfano kuisahau sehemh, kumpa mtu mwingine au kuringishia watu. , hupewi hela wala silaha yenyewe tena.
 
Haupewi, ni kuilipia tu kisha unapewa risiti.

Ikionekana hujakidhi vigezo, pesa utarudishiwa.

Ila ukiishainunua halafu ukafanya uzembe ikachukuliwa[emoji1787]mfano kuisahau sehemh, kumpa mtu mwingine au kuringishia watu. , hupewi hela wala silaha yenyewe tena.
Asante kwa ufafanuzi.
 
Back
Top Bottom