yeah jamani mwageni hapa mtujuze... ninampango kabla ya mwaka kuisha huu niwe walau nina tu AK47 tuwili na vi granade nusu kiroba... nikikosa saaaaan kama bei itasumbua bac walau ROCKET RANGER itafaaaa.... naaamini bei haitakuwa ghali
dah....hapa umeamua kweli.....kuna jirani yangu ana kifaru anauza....vipi utafika bei?
yeah jamani mwageni hapa mtujuze... ninampango kabla ya mwaka kuisha huu niwe walau nina tu AK47 tuwili na vi granade nusu kiroba... nikikosa saaaaan kama bei itasumbua bac walau ROCKET RANGER itafaaaa.... naaamini bei haitakuwa ghali
Habari zenu wanaJF!
Naomba kuuliza je ni taratibu gani mtu binafsi anatakiwa kuzifuata ili kuweza kununua na kumiliki silaha kama pistol kihalali hapa Tanzania?
Bei zake zikoje? Na je kuna masharti yoyote unayotakiwa kuyatimiza?
Nataka nipate silaha kwa ajiri ya ulinzi wangu binafsi nikiwa barabarani na nyumbani.
Asante mkuu, umenipa hint ya muhimu sana!!
Du hivyo vikao vya ulinzi na usalama kuanzia kata hadi mkoa si ndio kushawishi rushwa huko? In average huwa inachukua muda gani toka hatua ya kwanza hadi unapopata kibali cha kwenda kununua silaha?
Nikipata kujua na range za bei kwa silaha mbali mbali nitashukuru sana wadau!!
braza i'm curious to know? hivi katika ujana wako umeshawai kuishi somalia? sierra leone,afghanstan e.t.c of the like, maana nasikia uko mtoto akizaliwa tu, mama akimnunulia nepi tu,ananunua pamoja na karevorver chako anakuwekea pembeni ya nepi.
dah....hapa umeamua kweli.....kuna jirani yangu ana kifaru anauza....vipi utafika bei?
Mkuu kwenye red hapo walishavuka hiyo % siku hizi wanapiga 40%hahaha preta ningenunua hilo tank.. sema c unajua barabarazetu viwango duni.. 10% wanazokula wakubwa zinatumiza... sasa nikinunua kifaru itakuwa issue na majirani. halafu waaazimaji watakuwa wengi
Huyu Jamaa amekua raia mwema anahitaji afuate taratibu za nchi. Mnamshauri hivyo mbona mnamuacha njia mpanda mwenzenu!Huwezi jua hadi amewazia jambo hilo ana jambo moyoni mwake. Kwani ni vigumu kuimiliki ukifuata hizo taratibu za nchi?shida yote ya nn atafute wasomali wamuuzie AK-47 kwa bei poa , wazeya wa kazi wakikuvamia unawanyeshea tu.
Ofisi zao au mawasiliano yao yanapatikana vipi kaka?Kazi ipo!!mwambie ajiunge na usalama wa taifa