Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

Za humu members!
Ndugu yangu leo anashindwa kula kisa kaenda kuomba barua ya m/kiti wa mtaa apeleke Mzinga ili achague silaha aandikishwe na kusubiri vikao. Amekataliwa kwa kua hajatoa mlungula...je aende wapi kumlalamikia huyu ?
Tumsaidie ndugu yangu hajala tangu jana.
Nawakilisha.
anaeza akafa kwa njaa huyo......................vp hajala tangu jana anataka hyo silaha kwa matumizi yeeepi?mana ka hajala tangu jana na kisa ndo hicho kuna uwalakini
 
walakin mimi sioni maana namfaham ni mtu mstaarabu. Labda alikua amejiandaa kuipata ...sasa hayo ndio yanamtia huzuni...ndio nikaona niilete haraka hii post ..apate msaada!
 
<font size="3">anaeza akafa kwa njaa huyo......................vp hajala tangu jana anataka hyo silaha kwa matumizi yeeepi?mana ka hajala tangu jana na kisa ndo hicho kuna uwalakini</font>
<br />
<br />
Silaha hawezi ipata sasa...ila hayo yakunyimwa barua mpaka atoe mlungula ambao hana uwezo nao...hajui wapi akalalamike ili apewe haki yake? Si mahakamn
 
Katika uchaguzi mdogo uliopiata kule Ugunga kuna Mbunge alionekana wazi wazi akiwa na Bastola, na baadae alipigwa faini ya 100,000.00 kwa kosa la kuonekana kwa bastola yake katika mkutano wa hadhara; hata hivyo sijasikia habari kwamba kuna chombo chochote kilichokamata ile bastola yake na kuikagua kama ina risasi ngapi na kama amamilki kihalali au la.

Jana amekamatwa Kiongozi wa chama cha upinzani katika kile kilichodaiwa kukusanyika bila kibali akiwa na bastola ambayo ilishilkiliwa na polisi kukaguliwa na kuhakikiwa kama inamilikiwa kihalali na ikaonyeshwa hata kwenye TV, ambapo iligindulika bastola ilikuwa na risasi 7 na in hati miliki. Hii ishu ikawa habari muhimu sana kwenye baadhi ya vyombo vya habari! Yani kama vile jambazi kakamatwa na silaha inayomilikiwa kinyume na utaratibu.

Hivi kwani suala la kumiliki silaha hapa TZ likoje? Upatikanaji wake ukoje? Taratibu za kuipata zikoje? Managent yake imekaaje kisheria?
 
Uwezo wa polisi kuelewa mambo ni mdogo wao walikua wanataka tu sababu ya kufungua kesi kuubwa wameshindwa .Slaa anatokea Arusha hajaanza kumiliki silaha leo .Silaha ile imetoka mkoa wa Arusha leo wanaonyesha nini labda mbinu zao wanawapa majambazi wamvamie kwa kuonyesha aina ya slaha aliyo nayo si zaidi .
 
Uwezo wa polisi kuelewa mambo ni mdogo wao walikua wanataka tu sababu ya kufungua kesi kuubwa wameshindwa .Slaa anatokea Arusha hajaanza kumiliki silaha leo .Silaha ile imetoka mkoa wa Arusha leo wanaonyesha nini labda mbinu zao wanawapa majambazi wamvamie kwa kuonyesha aina ya slaha aliyo nayo si zaidi .

Mi naona kama wanaelewa ila wanafanya mambo mengine kwa makusudi tu au kwa amri kutoka kwa wakubwa wao amboa pengine nao wanapata maagizo kutoka mamlaka za juu. Vinginevyo kwa nini action zao hazina usawa, ishu y bastola ya yule mbunge kule igunga mbona polisi hawajaishikia bango ki-hivo.
 
Polisi ze2 fuc people,wana2danganya kwa sababu zisizo na msing.Ha2danganyiki
 
Nadhani ni vema nikaweka kumbukumbu sahihi

1. Dr Slaa hakukamatwa na kukutwa na bastola. Dr Slaa alikuwa ndani ya Fuso wakati mabomu ya machozi yalipoanza kupigwa majira ya saa 10.45 alfajiri. Nilikaa ndani ya gari hadi majira ya saa 12.15 nilipotoka mwenyewe.

2. Nilikabidhi bastola yangu kwa hiari yangu kwa mujibu wa sheria ndiyo maana swala la bastola haliko kwenye kesi waliyonifungulia.

3. Jioni nilipopewa mdhamana nikarudishiwa bastola yangu kwa kuwa ninaimiliki kihalali.
 
Nadhani ni vema nikaweka kumbukumbu sahihi

1. Dr Slaa hakukamatwa na kukutwa na bastola. Dr Slaa alikuwa ndani ya Fuso wakati mabomu ya machozi yalipoanza kupigwa majira ya saa 10.45 alfajiri. Nilikaa ndani ya gari hadi majira ya saa 12.15 nilipotoka mwenyewe.

2. Nilikabidhi bastola yangu kwa hiari yangu kwa mujibu wa sheria ndiyo maana swala la bastola haliko kwenye kesi waliyonifungulia.

3. Jioni nilipopewa mdhamana nikarudishiwa bastola yangu kwa kuwa ninaimiliki kihalali.

1. Afadhali umetoa ufafanuzi wewe mwenyewe. Baadhi yetu humu hatuendi mbali katika uchambuzi wa taarifa.

2. Poleni sana kwa yanayoendelea kutokea, kama kawaida taarifa kutoka ndani ya Chama bado ni hafifu. Watu wa Publicity waongeze kasi ya kufafanua mambo katika vipindi vigumu kama hivi, vinginevyo wananchi wanapumbazwa na propaganda za upande wa pili.
 
Nadhani ni vema nikaweka kumbukumbu sahihi

1. Dr Slaa hakukamatwa na kukutwa na bastola. Dr Slaa alikuwa ndani ya Fuso wakati mabomu ya machozi yalipoanza kupigwa majira ya saa 10.45 alfajiri. Nilikaa ndani ya gari hadi majira ya saa 12.15 nilipotoka mwenyewe.

2. Nilikabidhi bastola yangu kwa hiari yangu kwa mujibu wa sheria ndiyo maana swala la bastola haliko kwenye kesi waliyonifungulia.

3. Jioni nilipopewa mdhamana nikarudishiwa bastola yangu kwa kuwa ninaimiliki kihalali.

nashukuru raisi wangu wa moyoni.hakika sarakasi hizi za utawala wa kibabe zitafika mwisho..muda si mlefu uhuru wa kweli utapatikana.
 
Nilichukia pale walipokuwa wanaonyesha na maelezo kwamba walikukamata nayo. Kule Igunga Rage walimwona akiwa na bastol sikuona reaction yoyote zaidi ya kuonywa na kulipa faini. Haya yanakaria kuwa na mwisho.
 
Nadhani ni vema nikaweka kumbukumbu sahihi

1. Dr Slaa hakukamatwa na kukutwa na bastola. Dr Slaa alikuwa ndani ya Fuso wakati mabomu ya machozi yalipoanza kupigwa majira ya saa 10.45 alfajiri. Nilikaa ndani ya gari hadi majira ya saa 12.15 nilipotoka mwenyewe.

2. Nilikabidhi bastola yangu kwa hiari yangu kwa mujibu wa sheria ndiyo maana swala la bastola haliko kwenye kesi waliyonifungulia.

3. Jioni nilipopewa mdhamana nikarudishiwa bastola yangu kwa kuwa ninaimiliki kihalali.

poleni sana na vitimbi vya magamba, wengi sana tuko nyuma yenu. Hata mi nashauri toeni taarifa sahihi kwa umma maana polisi wanachangia upotoshwaji unaojitokeza. Mungu awalinde.
 
Asante kwa ufafanuzi wako rais wangu
Nadhani ni vema nikaweka kumbukumbu sahihi

1. Dr Slaa hakukamatwa na kukutwa na bastola. Dr Slaa alikuwa ndani ya Fuso wakati mabomu ya machozi yalipoanza kupigwa majira ya saa 10.45 alfajiri. Nilikaa ndani ya gari hadi majira ya saa 12.15 nilipotoka mwenyewe.

2. Nilikabidhi bastola yangu kwa hiari yangu kwa mujibu wa sheria ndiyo maana swala la bastola haliko kwenye kesi waliyonifungulia.

3. Jioni nilipopewa mdhamana nikarudishiwa bastola yangu kwa kuwa ninaimiliki kihalali.
 
Nadhani ni vema nikaweka kumbukumbu sahihi

1. Dr Slaa hakukamatwa na kukutwa na bastola. Dr Slaa alikuwa ndani ya Fuso wakati mabomu ya machozi yalipoanza kupigwa majira ya saa 10.45 alfajiri. Nilikaa ndani ya gari hadi majira ya saa 12.15 nilipotoka mwenyewe.

2. Nilikabidhi bastola yangu kwa hiari yangu kwa mujibu wa sheria ndiyo maana swala la bastola haliko kwenye kesi waliyonifungulia.

3. Jioni nilipopewa mdhamana nikarudishiwa bastola yangu kwa kuwa ninaimiliki kihalali.

Dr. Slaa pole sana Mkuu,

Tuko pamoja. Aksante kwa kuweka taarifa sahihi. Hata hivyo bado mimi najiuliza kwanini Jeshi la Polisi la CCM lina operate kwa double standard? Igunga kuna Wabunge wa CCM kina Rage walionekana wakihutubia Mikutano ya Kampeni na Bastola zao viunoni lakini hawakukamatwa.kuhojiwa wala kunyang'anywa hizo silaha na au baadaye kurudishiwa kama walivyofanya kwenu?

Huu ni ubaguzi wa kijinga kabisa. Yaani CCM wakiwa na silaha kwenye mikutano ni sawa,lakini CDM wakibeba silaha hata kama wanazimiliki kihalali ni kosa! Huu uhuni lazima utafutiwe dawa na ukomeshwe once and for all. Hatuwezi kuwa na Jeshi la Polisi la kihuni linalotekeleza amri za kijinga kutoka CCM.
 
Nadhani ni vema nikaweka kumbukumbu sahihi

1. Dr Slaa hakukamatwa na kukutwa na bastola. Dr Slaa alikuwa ndani ya Fuso wakati mabomu ya machozi yalipoanza kupigwa majira ya saa 10.45 alfajiri. Nilikaa ndani ya gari hadi majira ya saa 12.15 nilipotoka mwenyewe.

2. Nilikabidhi bastola yangu kwa hiari yangu kwa mujibu wa sheria ndiyo maana swala la bastola haliko kwenye kesi waliyonifungulia.

3. Jioni nilipopewa mdhamana nikarudishiwa bastola yangu kwa kuwa ninaimiliki kihalali.
Tupo pamoja Dr wa ukweli ukombozi unakaribia tuna imani na chadema kwa 100% hakuna kulala mpaka kieleweke
 
Mimi nafikiri tunawalaumu polisi bure hivi fikiri police F4 au std7 unatarajia afikirie mambo makubwa kama haya we have people with low thinking capacity according to what they doing, hata wakitumiwa hawawezi kufikiria kuwa hapa hatutendi haki waache mpaka watakapo kombolewa kifikra
 
Dr. Slaa pole sana Mkuu,

Tuko pamoja. Aksante kwa kuweka taarifa sahihi. Hata hivyo bado mimi najiuliza kwanini Jeshi la Polisi la CCM lina operate kwa double standard? Igunga kuna Wabunge wa CCM kina Rage walionekana wakihutubia Mikutano ya Kampeni na Bastola zao viunoni lakini hawakukamatwa.kuhojiwa wala kunyang'anywa hizo silaha na au baadaye kurudishiwa kama walivyofanya kwenu?

Huu ni ubaguzi wa kijinga kabisa. Yaani CCM wakiwa na silaha kwenye mikutano ni sawa,lakini CDM wakibeba silaha hata kama wanazimiliki kihalali ni kosa! Huu uhuni lazima utafutiwe dawa na ukomeshwe once and for all. Hatuwezi kuwa na Jeshi la Polisi la kihuni linalotekeleza amri za kijinga kutoka CCM.

hizi kesi mbili zipo tofauti, Rage alikuwa anahutubia mkutano halali (uliombwa) na akaonekana na silaha (halali) akiionyesha hadharani akapigwa faini. Dr. Slaa kama alivyosema mwenyewe alikamatwa kwa kosa la kuwa na mkusanyiko usio halali alikabidhi silaha yeye mwenyewe na baadaye akarudishiwa. mimi sioni double standard unayoongelea hapo
 
Dr. Slaa hakuna haja ya kumpa pole kwa sasa bali kukumpongeza yeye na wenzake naanza kuona mbele ya safari kama mwanga utaonekana, safari ya haki lazima wachache wataumia kwa niaba ya wengine.

Dhuluma na uzalilishaji wanaofanyiwa viongozi wa CDM na upinzani kwa ujumla ni maandiko na alama ndani ya mioyo ya watu hususani kizazi kipya ambacho hakioni faida ya mfumo wa sasa wa utawala. Ninacho shukuru bado viongozi wa CDM wanatumia busara kubwa sana kuongoza kundi kubwa la walalahoi lakini iko siku watashindwa na walalahoi wataamua kivyao, tusifike huko.
 
Nadhani ni vema nikaweka kumbukumbu sahihi

1. Dr Slaa hakukamatwa na kukutwa na bastola. Dr Slaa alikuwa ndani ya Fuso wakati mabomu ya machozi yalipoanza kupigwa majira ya saa 10.45 alfajiri. Nilikaa ndani ya gari hadi majira ya saa 12.15 nilipotoka mwenyewe.

2. Nilikabidhi bastola yangu kwa hiari yangu kwa mujibu wa sheria ndiyo maana swala la bastola haliko kwenye kesi waliyonifungulia.

3. Jioni nilipopewa mdhamana nikarudishiwa bastola yangu kwa kuwa ninaimiliki kihalali.
Pole sana kamanda:

Ila jeshi letu la polisi liko nyuma sana kiutendaji, kwa jinsi yameelezo yako yalivyo ni upuuzi kiongozi mkuu wa polisi kukimbilia kwenye television kuonyesha Umma bastola ya kiongozi wa CDM kana kwamba ilikuwa kwenye uhalifu.. serikali inabidi ijenge tabia ya kuwapima akili hawa ma-polisi ili kunusuru utendaji kazi wao na taifa kwa ujumla.
 
Back
Top Bottom