Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

Mimi ndio maana nasema polisi ni mawakala wa wawatawala, wanatumika wakiachwa fukara waliopindukia, halafu kwakua wamepumbazwa na kupumbazika wanadhani ccm ni mali ya dola , na dola ni mali ya CCM.

Huwezi kuamini mtu anaelipwa below 250,000 anaweza kuwatesa watetezi wa maslahi yao, ndio maana rafiki yangu akiishakua karibu na polisi mimi na huyo mtu mbalimbali, kwakua kuwa karibu na polici ni kuwa karibu na watu waliochanganyuikiwa na kuharibikiwa na kuruhusu kutumiwa na wanasiasa hawa hasa CCM.

Yupo Polisi mmoja anaitwa Chagonja, mimi naamini uelewa wake hauko barabara juu ya haki na wajibu wa jeshi katika kusimamia ulinzi na usalama.
 
Katika uchaguzi mdogo uliopiata kule Ugunga kuna Mbunge alionekana wazi wazi akiwa na Bastola, na baadae alipigwa faini ya 100,000.00 kwa kosa la kuonekana kwa bastola yake katika mkutano wa hadhara; hata hivyo sijasikia habari kwamba kuna chombo chochote kilichokamata ile bastola yake na kuikagua kama ina risasi ngapi na kama amamilki kihalali au la.

Jana amekamatwa Kiongozi wa chama cha upinzani katika kile kilichodaiwa kukusanyika bila kibali akiwa na bastola ambayo ilishilkiliwa na polisi kukaguliwa na kuhakikiwa kama inamilikiwa kihalali na ikaonyeshwa hata kwenye TV, ambapo iligindulika bastola ilikuwa na risasi 7 na in hati miliki. Hii ishu ikawa habari muhimu sana kwenye baadhi ya vyombo vya habari! Yani kama vile jambazi kakamatwa na silaha inayomilikiwa kinyume na utaratibu.

Hivi kwani suala la kumiliki silaha hapa TZ likoje? Upatikanaji wake ukoje? Taratibu za kuipata zikoje? Managent yake imekaaje kisheria?
Hatua dhidi ya Slaa zichukuliwe, kwa nini akae na silaha kwenye mkutano?
 
Hatua dhidi ya Slaa zichukuliwe, kwa nini akae na silaha kwenye mkutano?

Wewe ni una upungufu wa kujua sheria kwa hyo kaa na ujinga wako hvyohvyo,haujiulizi kwann hao Police hawakufungua kesi inayohusiana na yeye kukutwa na siraha? Bata wewe
 
Tupo pamoja Dr.
Usiache kupitia humu jf mara kwa mara kwani humu ndimo walimo wafia nchi/chama.
Kila la kheri ktk mapambano haya.
 
Wewe ndio kiongozi mwenye akili timamu Tanzania nzima na baadhi ya viongozi wa CDM, wewe ndio RAIS wangu, the rest ni upupu mtupu, kwanini JF kusingekua na Jukwaa la kupunguzia hasira? I wish lingekuwepo kidogo nikaandika ninavyotaka kuandika kwa lugha "ngumu"
Nadhani ni vema nikaweka kumbukumbu sahihi

1. Dr Slaa hakukamatwa na kukutwa na bastola. Dr Slaa alikuwa ndani ya Fuso wakati mabomu ya machozi yalipoanza kupigwa majira ya saa 10.45 alfajiri. Nilikaa ndani ya gari hadi majira ya saa 12.15 nilipotoka mwenyewe.

2. Nilikabidhi bastola yangu kwa hiari yangu kwa mujibu wa sheria ndiyo maana swala la bastola haliko kwenye kesi waliyonifungulia.

3. Jioni nilipopewa mdhamana nikarudishiwa bastola yangu kwa kuwa ninaimiliki kihalali.
 
Wewe ni una upungufu wa kujua sheria kwa hyo kaa na ujinga wako hvyohvyo,haujiulizi kwann hao Police hawakufungua kesi inayohusiana na yeye kukutwa na siraha? Bata wewe

Hata ukitukana ndio hivyo tena wameshamng'ang'ania!
 
1. Afadhali umetoa ufafanuzi wewe mwenyewe. Baadhi yetu humu hatuendi mbali katika uchambuzi wa taarifa.

2. Poleni sana kwa yanayoendelea kutokea, kama kawaida taarifa kutoka ndani ya Chama bado ni hafifu. Watu wa Publicity waongeze kasi ya kufafanua mambo katika vipindi vigumu kama hivi, vinginevyo wananchi wanapumbazwa na propaganda za upande wa pili.

Hakika hili bado ni tatizo sana kwa upande wa CHADEMA; namna ya kutoa taarifa za chama bado hakujakaa vyema. Kitengo cha publicity bado kimelala sana. Tumewashauri sana lakini naona kasi yao bado iko vile vile.

Tafadhalini sana, fikirieni vizuri juu ya suala hili.
 
Nadhani ni vema nikaweka kumbukumbu sahihi

1. Dr Slaa hakukamatwa na kukutwa na bastola. Dr Slaa alikuwa ndani ya Fuso wakati mabomu ya machozi yalipoanza kupigwa majira ya saa 10.45 alfajiri. Nilikaa ndani ya gari hadi majira ya saa 12.15 nilipotoka mwenyewe.

2. Nilikabidhi bastola yangu kwa hiari yangu kwa mujibu wa sheria ndiyo maana swala la bastola haliko kwenye kesi waliyonifungulia.

3. Jioni nilipopewa mdhamana nikarudishiwa bastola yangu kwa kuwa ninaimiliki kihalali.
Sawa Dr. umefanya vizuri kutoa huo ufafanuzi. Poleni na unyanyasaji mnaofanyiwa na vyombo vya dola na hasa polisi ambao ni wazi hawako huru katika utendaji wao bali wapo kwa kupokea amri kutoka chama cha magamba na viongozi wao.

Hata hivyo ufafanuzi unatakiwa zaidi katika sheria zinazoongoza katika umiliki wa silaha nchini na je, kitendo cha afisa wa polisi kuutangazia umma na kuonyesha hadharani silaha yako ambayo wewe umewakabidhi kama taratibu zinavyotaka ni halali??? Na kama sikosei afisa yule alitangaza kwamba wewe na mwenzako mmekamatwa na silaha na bila kufafanua uhalali wa silaha hizo, huoni kama hili limeleta picha mbaya kwa upande wenu??
 
hizi kesi mbili zipo tofauti, Rage alikuwa anahutubia mkutano halali (uliombwa) na akaonekana na silaha (halali) akiionyesha hadharani akapigwa faini. Dr. Slaa kama alivyosema mwenyewe alikamatwa kwa kosa la kuwa na mkusanyiko usio halali alikabidhi silaha yeye mwenyewe na baadaye akarudishiwa. mimi sioni double standard unayoongelea hapo
ni wazi huoni double standards kwa kuwa UWEZO WAKO WA KUFIKIRI NI MDOGO, SILAHA YA DR SLAA NI HALALI NA ALIIKABIDHI MWENYEWE, LAKINI POLISI WALIPOITA WAANDISHI WA HABARI WALITANGAZA KUWA AMEKAMATWA NA SILAHA AS IF HAIMILIKI KISHERIA. HAPO NDIPO DOUBLE STANDARD ILIPO.
 
hizi kesi mbili zipo tofauti, Rage alikuwa anahutubia mkutano halali (uliombwa) na akaonekana na silaha (halali) akiionyesha hadharani akapigwa faini. Dr. Slaa kama alivyosema mwenyewe alikamatwa kwa kosa la kuwa na mkusanyiko usio halali alikabidhi silaha yeye mwenyewe na baadaye akarudishiwa. mimi sioni double standard unayoongelea hapo

Kwanini Silaha ya Rage hawakuionesha kwenye vyombo vya habari kama walivyofanya kwa Dr Slaa?
 
Katika uchaguzi mdogo uliopiata kule Ugunga kuna Mbunge alionekana wazi wazi akiwa na Bastola, na baadae alipigwa faini ya 100,000.00 kwa kosa la kuonekana kwa bastola yake katika mkutano wa hadhara; hata hivyo sijasikia habari kwamba kuna chombo chochote kilichokamata ile bastola yake na kuikagua kama ina risasi ngapi na kama amamilki kihalali au la.

Jana amekamatwa Kiongozi wa chama cha upinzani katika kile kilichodaiwa kukusanyika bila kibali akiwa na bastola ambayo ilishilkiliwa na polisi kukaguliwa na kuhakikiwa kama inamilikiwa kihalali na ikaonyeshwa hata kwenye TV, ambapo iligindulika bastola ilikuwa na risasi 7 na in hati miliki. Hii ishu ikawa habari muhimu sana kwenye baadhi ya vyombo vya habari! Yani kama vile jambazi kakamatwa na silaha inayomilikiwa kinyume na utaratibu.

Hivi kwani suala la kumiliki silaha hapa TZ likoje? Upatikanaji wake ukoje? Taratibu za kuipata zikoje? Managent yake imekaaje kisheria?

Bastola ilikuwa na risasi 7, maana yake alipanga kuua watu saba na kusingizia kuwa polisi ndio walioua. Huyu mtu anastahili kwenda jela kati ya miaka Miwili mpaka mitano.

Tusikilizie, maana kuna tetesi kuwa Silaha nyingi zimeletwa mkoani Arusha na Moshi toka KENYA NA SOMALI IKISADIKIWA KUWA ZINAMILIKIWA NA CHADEMA.
 
hizi kesi mbili zipo tofauti, Rage alikuwa anahutubia mkutano halali (uliombwa) na akaonekana na silaha (halali) akiionyesha hadharani akapigwa faini. Dr. Slaa kama alivyosema mwenyewe alikamatwa kwa kosa la kuwa na mkusanyiko usio halali alikabidhi silaha yeye mwenyewe na baadaye akarudishiwa. mimi sioni double standard unayoongelea hapo

Sawa kabisa, ishu ni kwamba kwanini hiyo bastola imekuwa ishu ki-hivyo. Mbona hawakusema alikutwa na sh. ngapi ama vitu vinginealokuwanavyo.
 
Apigwe faini ya Sh. 100,000.00 au hatua gani ichukuliwe dhidi yake? Ile bastola iliyoonekana akiwa nayo yule mbunge kule igunga ni sawa na ya Slaa tu, wlaa hakuna kitu cha ajabu hapa ila tu wakifanya CDM inakuwa nongwa wakifanya CCM poa. Siku zinahesabika..... Uhuru utapatikana........
 
Bastola ilikuwa na risasi 7, maana yake alipanga kuua watu saba na kusingizia kuwa polisi ndio walioua. Huyu mtu anastahili kwenda jela kati ya miaka Miwili mpaka mitano.

Tusikilizie, maana kuna tetesi kuwa Silaha nyingi zimeletwa mkoani Arusha na Moshi toka KENYA NA SOMALI IKISADIKIWA KUWA ZINAMILIKIWA NA CHADEMA.

Duh...nalazimika kurudia maneno ya yule aliyesema "hapo hata masaburi yako yenyewe hujayashirkisha ktk kufikiri sijui ukiyashirikisha itakuaje"
 
Katika uchaguzi mdogo uliopiata kule Ugunga kuna Mbunge alionekana wazi wazi akiwa na Bastola, na baadae alipigwa faini ya 100,000.00 kwa kosa la kuonekana kwa bastola yake katika mkutano wa hadhara; hata hivyo sijasikia habari kwamba kuna chombo chochote kilichokamata ile bastola yake na kuikagua kama ina risasi ngapi na kama amamilki kihalali au la.

Jana amekamatwa Kiongozi wa chama cha upinzani katika kile kilichodaiwa kukusanyika bila kibali akiwa na bastola ambayo ilishilkiliwa na polisi kukaguliwa na kuhakikiwa kama inamilikiwa kihalali na ikaonyeshwa hata kwenye TV, ambapo iligindulika bastola ilikuwa na risasi 7 na in hati miliki. Hii ishu ikawa habari muhimu sana kwenye baadhi ya vyombo vya habari! Yani kama vile jambazi kakamatwa na silaha inayomilikiwa kinyume na utaratibu.

Hivi kwani suala la kumiliki silaha hapa TZ likoje? Upatikanaji wake ukoje? Taratibu za kuipata zikoje? Managent yake imekaaje kisheria?

Mimi ukiniuliza ni nani mbumbumbu kati yako na polisi, jibu langu ni wewe. Kwanza lazima uelewe kwamba askari walioshughulikia suala la igunga siyo wale wa arusha na kila mmoja ana utashi wake kutegemeana na mazingira. Pili, Dr. Slaa alikamatwa kwa kukusanyika isivyo halali na katika harakati za kuchukua hatua na kumuweka mahabusu ndipo suala la kuwa na silaha lilipojitokeza na ilikuwa ni lazima kujiridhisha kwamba mtuhumiwa huyu anaimiliki silaha hiyo kihalali au la kabla hajawekwa mahabusu.

Isingekuwa rahisi kujua kwamba Slaa anaimiliki kihalali silaha hiyo bila kuangalia kwenye kumbukumbu ambazo inawezekana wakati huo polisi hao hawakuwa nazo. Sasa kama unataka ionekane kwamba ni case ya double standards then ni lazima mazingira yafanane, watendaji wawe wale wale na kosa liwe ni lile lile. Au unadhani kwa sababu ni Slaa basi yeye haguswi na sheria?
 
Habari zenyu bana! Muko poa natumaini,waungwana mi nna shida ya kumiliki silaa ndogo, je utaratibu ukoje ili mtu aweze kumiliki slaa ni ayo tu waungwana,
 
Kama una ndugu Somalia ni rahisi kupata toka kwa Al shabaab. Huku bongo unaanza kuhonga mwenyekiti wa mtaa hadi mkuu wa wilaya, unawalipa na posho ya vikao vya kukujadili. Kama uko vizuri kuhonga ndani ya wiki moja unamiliki kama nilivyofanya mimi.
 
Kama una ndugu Somalia ni rahisi kupata toka kwa Al shabaab. Huku bongo unaanza kuhonga mwenyekiti wa mtaa hadi mkuu wa wilaya, unawalipa na posho ya vikao vya kukujadili. Kama uko vizuri kuhonga ndani ya wiki moja unamiliki kama nilivyofanya mimi.

ndio maana huwa napinga sana hiki kipimo cha IQ, mfano hilo jibu lako akili zako kwenye mizani ya IQ ni ngapi?
 
Nikuuzie hii silaha yangu? Ni gobore new modeli,ina turbo charger. Ukimsakizia mtu hata udongo alipokua amesimama hautasalia!
 
Back
Top Bottom