Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumiliki si tatizo-utunzaji sasa; asubuhi,mchana,usiku kiunoni; ikipotea tu ujue unaamkia mahabusu
Habari zenyu bana! Muko poa natumaini,waungwana mi nna shida ya kumiliki silaa ndogo, je utaratibu ukoje ili mtu aweze kumiliki slaa
mkuu ulifanikiwa kupata Binduki/mguu wa kuku .if yes ili kuchukua muda gani na gharama ikoje?
wajemeni eeh
kuuliza si ujinga na kuuliza njia ndio kujua njia!
... nahitaji bastola, kwa self defence tu, si vinginevyo! Sababu; najiona vulnerable mno huko 'uswekeni' ninakoishi. Hamna umeme, na majirani wanahesabika, BTW, practicing targets zipo za kutosha huko!
Najua humu kuna wengi tu wanaomiliki silaha kikazi, na wanaomiliki silaha kwa sababu kama zangu mie,..tatizo sijui "a" wala "be" nianzie wapi, meaning sheria na taratibu zikoje Bongo kumiliki silaha, hivi kuna duka la silaha Bongo?
wapi?
mfano; nikipata semi auto M92 Beretta yenye uwezo wa rounds 12 au 15 inatosha, au kuna 'limit' ya silaha ya aina gani naruhusiwa kuwa nayo? natamani kuagiza nje lakini nahofia nisijebanwa na sheria za uingizaji silaha...
Habari zenyu bana! Muko poa natumaini,waungwana mi nna shida ya kumiliki silaa ndogo, je utaratibu ukoje ili mtu aweze kumiliki slaa ni ayo tu waungwana,
Mi ninayo ya kichina, nikuuzie?
wachina wana skendo ya kuwa na vitu ovyo, lakini si vifaa vyao vya kivita. ni bora kuliko vifaa vya nchi zote. Fikiri, SMG hata iingie mchanga kiasi gani, lakini bila hata kuisafisha, ikisha koki tu, inamaliza tukio, hali ni tofauti kwa bunduki za kimarekani, isirel na kijeruman
Tena unajikuta uko keko mpaka uchunguzi ukamilike umesha gonga nyundo tano jela
m COLT 45?? M16 M60 ni kila kitu unaweka mpaka bomuVipi AK 47 ya Kirusi?