Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

nenda ngara zipo kibao toka rwanda na burundi!nenda central polisi utapewa fomu
 
nenda tanganyika arms wapo dar,arusha na moshi ama mzinga wapo makao makuu ya jwtz upanga na morogoro utapata maelezo na kuziona hizo 'Ndogo' live
 
kumiliki bunduki ni matatizo tu, ikitokea ukafyatua risasi labda ulikuwa unajihami bado longo longo,ukimpiga nayo mtu eti kibaka alitaka kukuibia mpaka uthibitishe hayo otherwise una kesi,, tuangalie namna ingine ya kujilinda
 
Habari zenyu bana! Muko poa natumaini,waungwana mi nna shida ya kumiliki silaa ndogo, je utaratibu ukoje ili mtu aweze kumiliki slaa

nyani ngabu na faiza hebu njoeni muedit hii lugha hapa.
 

wajemeni eeh

kuuliza si ujinga na kuuliza njia ndio kujua njia!

... nahitaji bastola, kwa self defence tu, si vinginevyo! Sababu; najiona vulnerable mno huko 'uswekeni' ninakoishi. Hamna umeme, na majirani wanahesabika, BTW, practicing targets zipo za kutosha huko!

Najua humu kuna wengi tu wanaomiliki silaha kikazi, na wanaomiliki silaha kwa sababu kama zangu mie,..tatizo sijui "a" wala "be" nianzie wapi, meaning sheria na taratibu zikoje Bongo kumiliki silaha, hivi kuna duka la silaha Bongo?

wapi?

mfano; nikipata semi auto M92 Beretta yenye uwezo wa rounds 12 au 15 inatosha, au kuna 'limit' ya silaha ya aina gani naruhusiwa kuwa nayo? natamani kuagiza nje lakini nahofia nisijebanwa na sheria za uingizaji silaha...
mkuu ulifanikiwa kupata Binduki/mguu wa kuku .if yes ili kuchukua muda gani na gharama ikoje?
 
Mkuu, hamasisha kabisa watu watafute maguruneti na mabomu (FF amekuuliza hapo juu km unayahitaji), bila kuwa nayo hayo hawa jamaa wataendelea kutunyanyasa sana na mabomu yao ya machozi na maji ya upupu, na ccm hawatatoka madarakani.
 
Habari zenyu bana! Muko poa natumaini,waungwana mi nna shida ya kumiliki silaa ndogo, je utaratibu ukoje ili mtu aweze kumiliki slaa ni ayo tu waungwana,

Nenda Tanganyika Arms, ulizia kama kuna mtu ana uza bunduki hiyo, kisha anza taratibu za kutafuta uhalali wa kuimiliki, utafika polisi watakupa fomu maaulu za kujaza na maelekezo mengine ya kufuata.
 
Mi ninayo ya kichina, nikuuzie?

wachina wana skendo ya kuwa na vitu ovyo, lakini si vifaa vyao vya kivita. ni bora kuliko vifaa vya nchi zote. Fikiri, SMG hata iingie mchanga kiasi gani, lakini bila hata kuisafisha, ikisha koki tu, inamaliza tukio, hali ni tofauti kwa bunduki za kimarekani, isirel na kijeruman
 
wachina wana skendo ya kuwa na vitu ovyo, lakini si vifaa vyao vya kivita. ni bora kuliko vifaa vya nchi zote. Fikiri, SMG hata iingie mchanga kiasi gani, lakini bila hata kuisafisha, ikisha koki tu, inamaliza tukio, hali ni tofauti kwa bunduki za kimarekani, isirel na kijeruman

Vipi AK 47 ya Kirusi?
 
Madogo ulinzi binafsi siyo lazima uwe na silaha, mwili wako tu una silaha za kutosha tafuta hiyo shule utaipenda!!
 
aina gani?? specify calibre, weight, brand? kama HK 45 ni poa ni PM
 
Back
Top Bottom